Hapa tunaongelea magari ya kubeba watalii, ambo kuna kampuni iko Arusha wao ndio wenye kibali cha Ku modify Toyota land cruiser Africa mashariki yote. Na hizo gari zinauzwa Kenya na south Africa.Tanzania ndio inanunua body za mabasi Kenya...Master Fabrication Ni kampuni kubwa ambapo Basi nyingi za Tanzania zinatengenezwa huko
Kenya walianza kutengeneza body za magari ya safari kabla ya Tanzania.
Sasa ukisema hivi, mbona Tanzania ndio nchi inayopata watalii wengi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki?Tourism in Tanzania ni kama engine ambayo mmiliki amekaataa kuchange oil with no apparent reason. Slowly chuma inakula chuma and it is grinding into a mighty failure. Revenue is everything kwa Government but sometimes namna ya ukusanyaji lazima iangaliwe vizuri isije kua "Bora punda afe ila mzigo ufike"
Umekielewa nilichoandika hapo na sababu inayofanya utalii uelekee pabaya lakini?..hao watalii wengi ni hao ambao wanapita na Kenya au?.Sasa ukisema hivi, mbona Tanzania ndio nchi inayopata watalii wengi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki?
...nchi yaaangu Tanzaniaaah...jina rako ni tamu sana weee!Dah!Wimbo huu jombaa umenrudisha mbaaali sana tu!Tanzania Tanzania.... Nakupenda kwa moyo wote...
Nadhani unasema haya huku ukidhani utali wetu unaporomoka, hakuna vielelzo vyoyote vinaonyesha tunashuka kiutalii. Kwanza kabisa watalii wanaokuja Tanzania kipitia Kenya wamepinguwa sasa, kutokana na watalii wengi wanapenda kuja moja kwa moja Tanzania. Ugaidi pia unawaogopesha kutua Kenya, nchi kama Marekani bado wana tamko la kuwatadharisha watu wao wawe makini wakiwa Kenya. Hoteli zinaongezeka Tanzania, vivutio vya kusini vinaanza kuimarishwa na kutagazwa. Sasa sujuwi wapi unafikiri Tanzania inakosea. Zanzibar peke yake, inapata watalii wengi kuliko Kenya yote.Umekielewa nilichoandika hapo na sababu inayofanya utalii uelekee pabaya lakini?..hao watalii wengi ni hao ambao wanapita na Kenya au?.
Hata kama tunaongoza kwa idadi ya watalii kusipokua na mipango efficient hiyo idadi itashuka ipasavyo
Hivyo vielelezo vingine unavyovitaka utavitafuta on your own time. Nimezungumzia effect ya kuweka VAT kwenye viingilio vya National parks. Mimi ni mdau wa utalii (Usiniulize kivipi). Tangu ongezeko la VAT June last year tumeona bookings na income vikishuka compared to last year (2015) ambao pamoja na vuguvugu la uchaguzi watalii bado walikua wakiingia.Nadhani unasema haya huku ukidhani utali wetu unaporomoka, hakuna vielelzo vyoyote vinaonyesha tunashuka kiutalii. Kwanza kabisa watalii wanaokuja Tanzania kipitia Kenya wamepinguwa sasa, kutokana na watalii wengi wanapenda kuja moja kwa moja Tanzania. Ugaidi pia unawaogopesha kutua Kenya, nchi kama Marekani bado wana tamko la kuwatadharisha watu wao wawe makini wakiwa Kenya. Hoteli zinaongezeka Tanzania, vivutio vya kusini vinaanza kuimarishwa na kutagazwa. Sasa sujuwi wapi unafikiri Tanzania inakosea. Zanzibar peke yake, inapata watalii wengi kuliko Kenya yote.
Kampuni kama KVM zina convert all range of vehicles hata za ambulance, including safri land cruiser, ni rahisi sana kupata Kibali as long as unaonyesha uwezo wakufanya professional job ambayo haitashusha hadhi kampuni iliotengeneza gari lenyewe.....Hapa tunaongelea magari ya kubeba watalii, ambo kuna kampuni iko Arusha wao ndio wenye kibali cha Ku modify Toyota land cruiser Africa mashariki yote. Na hizo gari zinauzwa Kenya na south Africa.
HAL | Re-defining Safari Vehicle Conversion
Ukija kwenye mabasi ya abiria siku hizi makampuni mengi ya Tanzania yananunua mabasi kamili toka South Africa chini ya mwamvuli wa SADC.
The company also pioneered the design and development of vehicle conversions for the tourist industry. Converting minibuses to specialised custom designed safari and game viewing vehicles has been our trade mark for many years. We have also undertaken pick conversions to safari vehicles for many tour operators in the East African region. As suppliers of original equipment, our quality standards are high and delivery times unsurpassed.
With our experience we are able to undertake any type of specialised vehicle conversions from design and development to fabrication and manufacture to personal requirements. Currently, MCI is preparing to re enter the OEM market with a full range of products for cars and motorcycles to service a large market that is opening up to 135 million people in the East African Community comprising of Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda and Burundi. Ethiopia is another destination of our products for the future. About
Wow, hata wewe umekuwa brainwashed, hii hoja ya VAT wapinzani walishikilia bango lakini wakaibwaga kama jadi yao. Hivi wewe unasema unafanya kazi on tourism industry si ungejuwa hata takwimu moja au mbili. Usitudanganye mkuu, mwaka 2015 Tanzania tulipata watalii 2million. VAT has shown little sign of number declining. Kwanza ndio kwanza watalii wameongezeka, huku wewe unasema wamepunguwa ....proof wapi!!!! Kilimajanro imeongezeka sana, deep dive watalii wameongezeka, watalii wanaokuja kufanya utafiti mafia wameongezeka, (hawa wanaokuja na meli zao za utafiti wanakaa hapo miezi mitatu, sita, wengine hadi mwaka) usikubali ya kuambiwa fanya utafiti. Unataka kusema mtali anaetoka South Africa na gari yake, anakuja kuingia mbugani na gari yake amesha panga kutumia $5,000- 7,000 atashidwa kulipa VAT 18%? Au hata mtalii aliyrtoka marekani au ulaya. Wanaotunyonya na kupiga kelele ni makampuni ya utali ambayo yanatupa mahesabu ya uwongo wakati wao wanalipwa hela yao nje.Hivyo vielelezo vingine unavyovitaka utavitafuta on your own time. Nimezungumzia effect ya kuweka VAT kwenye viingilio vya National parks. Mimi ni mdau wa utalii (Usiniulize kivipi). Tangu ongezeko la VAT June last year tumeona bookings na income vikishuka compared to last year (2015) ambao pamoja na vuguvugu la uchaguzi watalii bado walikua wakiingia.
Kuna watakaosema tunaogopa changes but ili change iwe na tija kwa wote it has to be orchestrated.
Ps. Endelea kuamini katika matangazo ya southern circuit as if yameanza this time. Northern Circuit pamoja na ubora wake still matangazo yamekua finyu na ambayo hayawi financed properly.
Something has to be done.
Umeanza kuleta mambo ya "wapinzani walishikilia bango"..usiniweke kwenye siasa mana sijadili politics. Ukienda na politics kwenye maswala ya aina hii utaprove failure. Usinihusishe kabisa na siasa..kama wapinzani walisema hivyo thats upto them.Wow, hata wewe umekuwa brainwashed, hii hoja ya VAT wapinzani walishikilia bango lakini wakaibwaga kama jadi yao. Hivi wewe unasema unafanya kazi on tourism industry si ungejuwa hata takwimu moja au mbili. Usitudanganye mkuu, mwaka 2015 Tanzania tulipata watalii 2million. VAT has shown little sign of number declining. Kwanza ndio kwanza watalii wameongezeka, huku wewe unasema wamepunguwa ....proof wapi!!!! Kilimajanro imeongezeka sana, deep dive watalii wameongezeka, watalii wanaokuja kufanya utafiti mafia wameongezeka, (hawa wanaokuja na meli zao za utafiti wanakaa hapo miezi mitatu, sita, wengine hadi mwaka) usikubali ya kuambiwa fanya utafiti. Unataka kusema mtali anaetoka South Africa na gari yake, anakuja kuingia mbugani na gari yake amesha panga kutumia $5,000- 7,000 atashidwa kulipa VAT 18%? Au hata mtalii aliyrtoka marekani au ulaya. Wanaotunyonya na kupiga kelele ni makampuni ya utali ambayo yanatupa mahesabu ya uwongo wakati wao wanalipwa hela yao nje.
Tanzania: Tourist Arrivals Increased By 10 Per Cent in 2016
Sijaona basi huku kwentu na maneno MCI (and I'm not trying to be funny). Ukija kwetu na ukaenda kwenye makampuni ya mabasi Dar express, Kilimajanro express etc ukiwailiza watakwbia most of there fleet inatoka SA. Hata expansion loans wantowa huko huko.Kampuni kama KVM zina convert all range of vehicles hata za ambulance, including safri land cruiser, ni rahisi sana kupata Kibali as long as unaonyesha uwezo wakufanya professional job ambayo haitashusha hadhi kampuni iliotengeneza gari lenyewe.....
Pitia hapa uone mapicha Conversions
Eti "Ukija kwenye mabasi ya abiria siku hizi makampuni mengi ya Tanzania yananunua mabasi kamili toka South Africa chini ya mwamvuli wa SADC"
Nai alisema hivyo? wapi proof??? Yani uko radhi utaje hadi SA ilimradi usikubali mengine yanatoka hapa Kenya ambapo body building ikimalizika inasafirishwa hadi Tz, UG, Rwanda kwa Urahisi manake ni karibu, Ukiona bus ambayo hapo nyuma imeandikwa body build by MCI ujue iko Kenya..
Hata sijaongelea akina KVM na ile nyengine iko mombasa nimesahau jina yake ambao hao ndo babu kubwa hapa Kenya ikija kwa industry ya magari
KLM si inakuja daily hadi KIA na DARKwa Nini Watalii wanatua Kenya ndio wapande shuttle waje Tanzania?
Sababu ni kuwa ATCL haifiki ULaya na Marekani au kuna sababu nyingine Kubwa?
Soma kabla huja jibu, wapi nilikuambia wewe ni mpinzani? Nilichosema, hoja kama hiyo ilibebwa na wapinzani lakini wakaibwaga kwakuwa takwimu hazikuqa upande wao. Mkuu unafanya kweli kwenye tourism industry au unababaisha. Any that is your problem, Lakini hata kugoogle kidogo tuu imeshidwa. Hebu fanya hata kazi ndogo ya kadakua mtadaoni (Tanzania 2million tourist). Magufuli aliliongelea hili swala wakati mfalme wa Morocco alivyo kuja, na hilo nalo hukulisikia?Umeanza kuleta mambo ya "wapinzani walishikilia bango"..usiniweke kwenye siasa mana sijadili politics. Ukienda na politics kwenye maswala ya aina hii utaprove failure. Usinihusishe kabisa na siasa..kama wapinzani walisema hivyo thats upto them.
Unaweza kunipa official source ya wapi umetoa takwimu za idadi ya watalii kufika 2 Million? Au ni data za kutengenezea nyumbani kwako?.
Nilichikuambia ni usinihusishe na SIASA mambo ya wapinzani walisema usiyalete hapa ongelea ninachokiandika. Nilikuelekeza mwanzoni kwamba swala la mimi kua mdau wa utalii usiliulize sana.Soma kabla huja jibu, wapi nilikuambia wewe ni mpinzani? Nilichosema, hoja kama hiyo ilibebwa na wapinzani lakini wakaibwaga kwakuwa takwimu hazikuqa upande wao. Mkuu unafanya kweli kwenye tourism industry au unababaisha. Any that is your problem, Lakini hata kugoogle kidogo tuu imeshidwa. Hebu fanya hata kazi ndogo ya kadakua mtadaoni (Tanzania 2million tourist). Magufuli aliliongelea hili swala wakati mfalme wa Morocco alivyo kuja, na hilo nalo hukulisikia?
Majibu ya mtazania aliyekata tamaa na maisha. Pole, the number has already pass expectation, and you of the all people should know unless umetydanganta kazi unayo fanya. Lakini unashindwa hata kutushawishi kama utali umeshuka. I have given you the links before, umezipuuza. Makampuni ya ndege Ethiopian, KLM wanabadiki ndege za kuja tz na kuleta kubwa na safari zinaongezeka unafukiri wanabeba nini huko, kuku?Nilichikuambia ni usinihusishe na SIASA mambo ya wapinzani walisema usiyalete hapa ongelea ninachokiandika. Nilikuelekeza mwanzoni kwamba swala la mimi kua mdau wa utalii usiliulize sana.
Hivi tunaongelea expectations hapa au reality? hizo za 2 M ni expectations za 2017 sio real data za 2017. Nilizokuwekea hapo juu na ninachokiandika ni reality. Na usitegemee hata kidogo unless uwe unaota mchana kwamba kutakua na 100% increase ya watalii kwenye nchi ambayo last year ilikua na ongezeko la 10% only..narudia tena maybe IN YOUR DREAMS!.
Majibu ya mtazania aliyekata tamaa na maisha. Pole, the number has already pass expectation, and you of the all people should know unless umetydanganta kazi unayo fanya. Lakini unashindwa hata kutushawishi kama utali umeshuka. I have given you the links before, umezipuuza. Makampuni ya ndege Ethiopian, KLM wanabadiki ndege za kuja tz na kuleta kubwa na safari zinaongezeka unafukiri wanabeba nini huko, kuku?
Kinacho kupigisha kelele hata sijuwi ni nini, ni kwamba tourism industry tz imekufa au. You've baseless claim ambazo unashundwa hata kuzisukuma. Bajeti inakuja June, itakubidi uje ututhibitishie haya unayoyasema kama utali wetu imekufa kwaajili ya VAT (Mimi nitakutafuta hapa jf). Halafu unasema unafanya kwenye park.The number has already passed expectations?, You must be out of your mind. Halafu Soma ile comment uliyoquote part of it kabla ya kunieleza mambo ya kunipa links.