Kenya inafanya maigizo na COVID 19

Kenya inafanya maigizo na COVID 19

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Kenya imetangaza watalii hawatakwenda karantini watakapo tua nchini humo. Ila zuio hilo la kutokwenda karantini linawahusu watalii wazungu tu watakao ingia kenya. Kufuatia kile kinacho itwa JUHUDI ZA KUPAMBANA NA CORONA mnamo machi 20,2020 nchii hiyo ilifunga anga lake na kutoruhusu wageni nje ya mipaka ya nchii hiyo kuingia kenya . kitendo cha kuondoa marufuku ya kwenda karantini kwa watalii wazungu kimechukuliwa kama ni kukosa msimamo kwa sababu ili hali mzungu hatokwenda karantini ila mzawa wa kenya atakaye ingia kenya toka ng'ambo ni lazima aende karantini kwa muda wa siku 14 kabla ya kujumuika uraiani. Kitendo hiki kimewakera raia wa kenya wanao ishi ughaibuni
 
Hata kama ila hii taarifa duh! Napinga..
 
W

Wamesema ni ALL Passengers... sio watalii pekee. Kasome tena na uedit bandiko lako
Anyways ndio maana nime title maigizo ya kupambana na covid 19 ! Maana ktk mataifa yote yanayo fanya lockdown mgwni akiingia ktk nchi lzm akae karantin siku 14. Mpaka vipimo vitoke ss nyie mbona mnatufanyia maigizo ? Msipo kuwa makini huu mwaka mtaishia ndani mpaka february mwakani
 
Hata kama ila hii taarifa duh! Napinga..
Unalipinga wakati CS macharia ndio kasema ilo na wa kenya wenzio ivyo ivyo wana lia lia may be until further notice
 
Wakenya wakisikia sauti ya muzungu miili yao hulegea Kama mlenda
 
Na hapo hapo kuna rumors za yule mjamaa anaitwa Robert Burale (city church pastor) jamaa alijitangazia ya kuwa ni mgonjwa wa covid kumbe anaigiza 😃😃😃😃😃😃 ila ndugu zetu jameni mnavituko

 
Chezea mzungu wewe!

Manyang'au yote yakisikia mzungu yanafyata mkia!

Majitu matumwa mno haya!
 
Anyways ndio maana nime title maigizo ya kupambana na covid 19 ! Maana ktk mataifa yote yanayo fanya lockdown mgwni akiingia ktk nchi lzm akae karantin siku 14.
Sio lazima siku 14.

Tanzania hakuna quarantine, Ethiopia nako wametoa kama utaenda na negative test result (au uwekwe siku 7), Zimbabwe ni siku chini ya7 etc etc. Kenya wapo kwenye njia sahihi. Kama gonjwa lilishaingia kwenye community, it doesnt make a lot of sense “kuwabania” wageni wanaoingia kutoka nje
 
Back
Top Bottom