Kenya inaipenda Tanzania dhaifu haiwezi kamwe ikaipenda Tanzania madhubuti chini ya Rais Magufuli

Umenena vitu vingi sana Chief, safi sana.
Sisi Vijana hususan wa Kitanzania hatupend kusifia vyetu, akat vijana wa Kenya wanasifia kwao na kuponda vya kwetu, siyo kwamba kwao hakna mabaya ila linapokuja swala Taifa lazma utangulize uzalendo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli chief..Mimi sio mwanachama kindakindaki wa CCM lakini naona kuna vingi sana nyuma ya pazia
 
Sijawahi kuipigia CCM kura na sijuwi kama nitaipigia ila kama kuna jambo jema analo sitahili kupongezwa kama akikamilisha ni miradi hii 2!!
Umeme una kula au una mega karibia ya 45% ya profit ya uendeshaji viwanda hapa Tanzania umeme ni wa ghali Sana ukiwa na kiwanda kidogo Sana umeme wa 2M hautoshi kuendesha kwa week!!!
Pia juhudi binafsi za mh Rais kwenye kupigania viwanda zimeleta matunda Sana
Ni juwavyo mimi fundi25 viwanda vya Kenya vina pitia kipindi kiguma Sana!!
Uchawi ulobaki unao kwamisha viwanda licha ya changamoto za umeme ni vibali vya chemical maana viwanda vingi vinaendehwa na material na material mengi huesabika kama chemical bado kuna kanunu za mabeberu tunaendesha nazo kupata vibali vya chemical!!
Sheria ambazo ziliwekwa ili kukwamisha ukuwaji wa viwanda Tanzania!!
Bila ata kuhitaji uwe na uwezo mkubwa wa kufikiri siku umeme ukiwa ukimega angalau
10% profit ya uzalishaji sio kenya tu ata South Africa......
 
Umeongea points sana...Big Up
 
Uchambuzi murua kabisa,hapoa ndio ninapoipenda jamii forums kwa hoja kama hizi.Tushikamane na JPM
 
Itakuwa ulikuwa unashinda na watoto kam hujui haya yaliyoandikwa wakati hata magari yalioenda kuchukua watalii nairobi kutoka arusha waliyazuia>
 
Haina Chenga hiyo Mkuu 100% Right.Sema muda ukifika hakuna wa kuzuia na Muda wenyewe ndiyo huu.
 
kama kuna mtanzania ana sapot ujinga wa kenya na amesoma mada hii yenye ushahidi wa kutosha lkn bado ana sapot kenya kwa kweli naunga mkono hoja aamie huko kenya.
tusibanane kwenye mwendo kasi.tukawa raia weengi kumbe wengine ni mamluki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani ukisoma kenya ndio kujua yaliyomo vichwani mwao!!!!!
 
jf ni muhimu sana kuliko vitu vingi kwenye taifa.
hii thread inawaonganisha watanzania kuwa kitu kimoja kwenye vita vya kiuchumi kupitia jf.
sio kila jambo la serikali ni la kupinga kuna mema na mabaya. lazima tuangalie utaifa kwanza.

viva sgr.viva jnhpp,viva jf.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ukiyasema haya watakuambia unatafuta Uteuzi as if kuteuliwa ni jambo baya au yeye hataki kuteuliwa au akiteuliwa atakataa. Akili za kijinga kabisa hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…