Kenya inakusanya pesa nyingi, inakopa sana lakini ni nchi ya mwisho kuwekaza katika Infrastructure.

Tanzania tunajenga mradi mkubwa wa UMEME gharama yake ni $3B, onyesheni mradi wowote sasa hivi Kenya mnaojenga wenye thamani ya $1B, hiyo pesa mnakopa kila siku mnafanyia nini?
Lamu port. Funded by govt.
SGR
CBC
Affordable housing.

Any other quiz Mr. Rumors?
 
Lamu port. Funded by govt.
SGR
CBC
Affordable housing.

Any other quiz Mr. Rumors?
Lamu port serikali yenu ilitoa $500M pekee miaka miwili iliyopita, lakini kila mwaka mnaendelea kukopa. Tafadhali onyesha mradi mmoja kuanzia January 2018 hadi Leo ulioanzishwa wenye thamani ya $1B.
 
Affordable housing.
Do you still have any question?
Lamu port serikali yenu ilitoa $500M pekee miaka miwili iliyopita, lakini kila mwaka mnaendelea kukopa. Tafadhali onyesha mradi mmoja kuanzia January 2018 hadi Leo ulioanzishwa wenye thamani ya $1B.
 
The Battle of the Mediocre...

Haya mashindano ya kushindana na kilema mwenzako hayatatufikisha popote.., ukiangalia we are all in the same sinking boat.., instead of boasting we have these or that.., a better way is how to overcome our current state.., Both of as are in a problem of being led by people dining and washing on wine while we the people don't even have enough water....
 
Affordable housing.
Do you still have any question?
Hahahaha, huo mradi gharama yake ni bei gani?, onyesha pesa hiyo imetoka wapi?. Ninyi mumepanga kuwakata wafanyakazi % ya salaries zao, stupid Kunyaland. Onyesha pesa mnayokopa mnapeleka wapi?
 
Let's cut the story short, Kenya vs Tanzania in boxing match who wins??!!🤣🤣. The two brothers bout
 
Alafu utasikia nyang'au zinajitapa kuwa budget yao ni kubwa kulinganisha na nchi nyingine za EAC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…