Kenya inamong'onyoka polepole wakati sisi tunaboom

Kenya inamong'onyoka polepole wakati sisi tunaboom

Landless Kenyans, wanashabikia uchumi wa kwenye makaratasi while majority are extremely poor. Ukitaja Kenya Maanake ni Nairobi. Wooote wamehamia Nairobi, Tz tuna chance ya kudevelop kuliko Kenya. Wakenya wanaongea sana ndio maana watz naona nao wameamua kuwajibu.
Mombasa has more millionaires than Dar Es Salaam....
 
Nitajie achievement moja ya Mkenya kuacha like ambacho Mzungu amewafanyia!
Watu wanabomoa nchi nzuri iliyokuwa na kila kitu halafu unawaita hard working? labda hard working wa kubomoa lkn siyo kujenga!
Barabara hii imejengwa kwa msaada wa watu wa Marekani..

Barabara hii imejengwa kwa msaada wa watu wa Japan..

Tanzanite inauzwa zaidi Kenya kuliko Tanzania..

Wamiliki viwanda wengi Tanzania nia Wahindi.. Nitajie viwanda vitano tu vinavyomilikiwa na watanzania weusi..

Kumcheke Kenya mzungu wakati wewe uchumi wako umetawaliwa na Wahindi na Waarabu ni ujinga..
 
Landless Kenyans, wanashabikia uchumi wa kwenye makaratasi while majority are extremely poor. Ukitaja Kenya Maanake ni Nairobi. Wooote wamehamia Nairobi, Tz tuna chance ya kudevelop kuliko Kenya. Wakenya wanaongea sana ndio maana watz naona nao wameamua kuwajibu.
Wanashabiki uchumi wa kwenye karatasi hahahahahah
 
Mombasa has more millionaires than Dar Es Salaam....

Your mouth can say anything so long as you pay no tax for that. That's what Kenyan are like, why are you not mentioning that you even have more wazungu and wahindi than Tanzania? .... Nairobi city centre has many jobless youth wondering than Dar. You might many Millionaires in Kenya than Tz but almost all are wazungu and Indians, while common black ass Kenyans fills the gatekeeper job. You are right!!!
 
Your mouth can say anything so long as you pay no tax for that. That's what Kenyan are like, why are you not mentioning that you even have more wazungu and wahindi than Tanzania? .... Nairobi city centre has many jobless youth wondering than Dar. You might many Millionaires in Kenya than Tz but almost all are wazungu and Indians, while common black ass Kenyans fills the gatekeeper job. You are right!!!
Ukikosoa tu basi wewe Mkenya... Nishakuwa Mkenya fasta...

Bongo kumbe matajiri wengi ni weusi... Ebu nitajie weusi watatu tu wanaomiliki viwanda hapa Daslama..

Alafu nenda kwa SSB, METL na kule Mtwara kwenye kampuni za Statoil, Halliburton uone top officials wanatoka wapi... Kenya na Tanzania hatuna tofauti yoyote kwa uchumi wetu kutawaliwa na wahindi au wazungu... Bora hata Uganda wanaweza kupiga kifua..
 
watz mtakufa na wivu wakijinga...ati kenya ni narobi tu.i think mlipeza kitambo kufika kenya or hujawai fika kabisa so unashabikia usilolijua.ngoja tuone iyo boom yenu na huko kumomonyoka kwetu kutaishaje.sometime kujipea hopes sio mbaya
 
Ukikosoa tu basi wewe Mkenya... Nishakuwa Mkenya fasta...

Bongo kumbe matajiri wengi ni weusi... Ebu nitajie weusi watatu tu wanaomiliki viwanda hapa Daslama..

Alafu nenda kwa SSB, METL na kule Mtwara kwenye kampuni za Statoil, Halliburton uone top officials wanatoka wapi... Kenya na Tanzania hatuna tofauti yoyote kwa uchumi wetu kutawaliwa na wahindi au wazungu... Bora hata Uganda wanaweza kupiga kifua..

Ulipaswa usupport ulichokisema Mombasa ina Millionaires wengi kuliko Tz. Umetumia source gani? Wakiwa na millionaires wengi maanake nini sasa?
 
Back
Top Bottom