Kenya inatuzidi wapi Tanzania? Baada ya Microsoft na Visa kufungua vituo vyao Nairobi, Google nayo yasema inafungua kituo chake nchini humo

Kenya inatuzidi wapi Tanzania? Baada ya Microsoft na Visa kufungua vituo vyao Nairobi, Google nayo yasema inafungua kituo chake nchini humo

Google imetangaza kuzindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi, ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika, ili kujenga bidhaa na huduma za "mabadiliko" kwa soko la Afrika na ulimwengu. Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kufichua mipango ya kuwekeza dola bilioni 1 katika miaka mitano ijayo Oktoba mwaka jana. Kituo hicho ni uwekezaji wa pili mkubwa wa Google wa utafiti na maendeleo barani Afrika, baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kuanzisha AI na kituo cha utafiti nchini Ghana mnamo 2019.

Google inajiunga na orodha inayokua ya kampuni kubwa za teknolojia zinazoanzisha kitovu cha uvumbuzi jijini Nairobi. Wiki mbili zilizopita na muda mfupi baada ya Microsoft kuzindua kituo cha utafiti na maendeleo jijini Nairobi, Visa ilitangaza kwamba ilikuwa imeanzisha kituo chake cha kwanza cha uvumbuzi ili kuunda suluhu za malipo na biashara pamoja na washirika.
=====

Google has today announced the launch of a product development center in Nairobi, its first in the continent, to build “transformative” products and services for the African market and the world. This comes after the tech giant revealed plans to invest $1 billion over the next five years in October last year. The center is Google’s second major research and development investment in Africa, after the tech giant set up an AI and research center in Ghana in 2019.

Google said its will hire over 100 tech talent including software engineers, researchers and designers over the next two years to help solve difficult and technical challenges, such as improving the smartphone experience for people in Africa, or building a more reliable internet infrastructure, said Google VP for products, Suzanne Frey.

Google joins the growing list of tech giants setting up innovations hub in Nairobi. Two weeks ago and shortly after Microsoft launched a research and development center in Nairobi, Visa announced that it had set up its first innovation center to co-create payment and commerce solutions with partners.

“Africa has been at the forefront of innovation, and we believe that we are going to continue to develop and innovate right here from the continent,” said Google’s policy lead for Sub-Saharan Africa Charles Murito.

Google said it plans to continue building partnerships, products and services to get more people connected to the internet, support small and medium-sized businesses and non-profit organizations.

“We have 300 million people on the internet in the region [Africa] today. We also know that in the course of the rest of this decade, we’re going to have another half a billion people who will experience internet for the very first time, which is why it is incredibly important that we build products and experiences that are helpful to these people that are going to be experiencing the internet just in Africa,” said Google in Africa managing director, Nitin Gajria.
Na sisi tuna Royal tour. 👌
 
sera za biashara zao ziko static..pinda pinda ili ulaji upatikane kule hamna..hakuna siasa kwenye biashara za watu.ikisemwa kodi kwenye product x ni 16 percent inabaki ivyo miaka na miaka...hakun panda shuka, hata gaharama za visa gharama za vat ziko chini kuliko tz..urasimu pia hakuna..
 
Google imetangaza kuzindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi, ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika, ili kujenga bidhaa na huduma za "mabadiliko" kwa soko la Afrika na ulimwengu. Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kufichua mipango ya kuwekeza dola bilioni 1 katika miaka mitano ijayo Oktoba mwaka jana. Kituo hicho ni uwekezaji wa pili mkubwa wa Google wa utafiti na maendeleo barani Afrika, baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kuanzisha AI na kituo cha utafiti nchini Ghana mnamo 2019.

Google inajiunga na orodha inayokua ya kampuni kubwa za teknolojia zinazoanzisha kitovu cha uvumbuzi jijini Nairobi. Wiki mbili zilizopita na muda mfupi baada ya Microsoft kuzindua kituo cha utafiti na maendeleo jijini Nairobi, Visa ilitangaza kwamba ilikuwa imeanzisha kituo chake cha kwanza cha uvumbuzi ili kuunda suluhu za malipo na biashara pamoja na washirika.
=====

Google has today announced the launch of a product development center in Nairobi, its first in the continent, to build “transformative” products and services for the African market and the world. This comes after the tech giant revealed plans to invest $1 billion over the next five years in October last year. The center is Google’s second major research and development investment in Africa, after the tech giant set up an AI and research center in Ghana in 2019.

Google said its will hire over 100 tech talent including software engineers, researchers and designers over the next two years to help solve difficult and technical challenges, such as improving the smartphone experience for people in Africa, or building a more reliable internet infrastructure, said Google VP for products, Suzanne Frey.

Google joins the growing list of tech giants setting up innovations hub in Nairobi. Two weeks ago and shortly after Microsoft launched a research and development center in Nairobi, Visa announced that it had set up its first innovation center to co-create payment and commerce solutions with partners.

“Africa has been at the forefront of innovation, and we believe that we are going to continue to develop and innovate right here from the continent,” said Google’s policy lead for Sub-Saharan Africa Charles Murito.

Google said it plans to continue building partnerships, products and services to get more people connected to the internet, support small and medium-sized businesses and non-profit organizations.

“We have 300 million people on the internet in the region [Africa] today. We also know that in the course of the rest of this decade, we’re going to have another half a billion people who will experience internet for the very first time, which is why it is incredibly important that we build products and experiences that are helpful to these people that are going to be experiencing the internet just in Africa,” said Google in Africa managing director, Nitin Gajria.
Hata walimu wazuri wa IT wapo Kenya wanakujaga kufundisha Tz
 
Tanzania tuna sheria za kikoloni sana hebu fikiria tu ugumu wa kupata passport kitu ambacho kwa majirani zetu ninachukua masaa chini ya 72
 
Tanganyika lilikuwa shamba la mkoloni aka Ranch na Kenya aka Nairobi ilikuwa ndio makazi yao na sehemu yao ya kuishi...kwahiyo huku wote sisi ni shamba boys tu...
 
Mkenya,Mtanzania, na Mganda walipewa zoezi la kuchagua matunda,unachagua tunda utakalo weza kulimeza ili usalimike usiuawe.
Mkenya alichagua chungwa
Mganda alichagua papai
Mtanzania alichagua tikiti maji yale ya punda milia!
Sasa jibu unalo wanatuzidi nini Wa KE.

Hata hawa CNN,AlJAZEERA,SKY NEWS wanaitambua Nairobi kuliko Dar es salaam kwenye utabiri wa hali ya hewa Miji mikubwa ya Afrika utaona Khartuom,Nairobi,Cairo, ALexandria n.k sisi ni ma Royal tour tu.
 
Google imetangaza kuzindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi, ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika, ili kujenga bidhaa na huduma za "mabadiliko" kwa soko la Afrika na ulimwengu. Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kufichua mipango ya kuwekeza dola bilioni 1 katika miaka mitano ijayo Oktoba mwaka jana. Kituo hicho ni uwekezaji wa pili mkubwa wa Google wa utafiti na maendeleo barani Afrika, baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kuanzisha AI na kituo cha utafiti nchini Ghana mnamo 2019.

Google inajiunga na orodha inayokua ya kampuni kubwa za teknolojia zinazoanzisha kitovu cha uvumbuzi jijini Nairobi. Wiki mbili zilizopita na muda mfupi baada ya Microsoft kuzindua kituo cha utafiti na maendeleo jijini Nairobi, Visa ilitangaza kwamba ilikuwa imeanzisha kituo chake cha kwanza cha uvumbuzi ili kuunda suluhu za malipo na biashara pamoja na washirika.
=====

Google has today announced the launch of a product development center in Nairobi, its first in the continent, to build “transformative” products and services for the African market and the world. This comes after the tech giant revealed plans to invest $1 billion over the next five years in October last year. The center is Google’s second major research and development investment in Africa, after the tech giant set up an AI and research center in Ghana in 2019.

Google said its will hire over 100 tech talent including software engineers, researchers and designers over the next two years to help solve difficult and technical challenges, such as improving the smartphone experience for people in Africa, or building a more reliable internet infrastructure, said Google VP for products, Suzanne Frey.

Google joins the growing list of tech giants setting up innovations hub in Nairobi. Two weeks ago and shortly after Microsoft launched a research and development center in Nairobi, Visa announced that it had set up its first innovation center to co-create payment and commerce solutions with partners.

“Africa has been at the forefront of innovation, and we believe that we are going to continue to develop and innovate right here from the continent,” said Google’s policy lead for Sub-Saharan Africa Charles Murito.

Google said it plans to continue building partnerships, products and services to get more people connected to the internet, support small and medium-sized businesses and non-profit organizations.

“We have 300 million people on the internet in the region [Africa] today. We also know that in the course of the rest of this decade, we’re going to have another half a billion people who will experience internet for the very first time, which is why it is incredibly important that we build products and experiences that are helpful to these people that are going to be experiencing the internet just in Africa,” said Google in Africa managing director, Nitin Gajria.
Vita ya Urusi na Ukraine ndiyo chanzo
 
Katiba borA, inaweka gurantee kuwa hata aingie kiongozi kichaa bado haitaathiri mazingira yao ya biashara..

Kenya ile katiba yao mpyA itawabeba sana kwenye kila nyanja.
 
Nisaidie kunielewesha Mkuu
It is all about how you invested in academic systems from the beginning, does't mean financially, but the educational delivery mode matters. Some countries, their education delivery is practical oriented, while other countries rely much on theory. This is the difference.
 
Kuna pub kali inafunguliwa tbt

Hivi zuchu mondi konde rayvny ep

Yao lini?

Ova
 
Google imetangaza kuzindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi, ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika, ili kujenga bidhaa na huduma za "mabadiliko" kwa soko la Afrika na ulimwengu. Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kufichua mipango ya kuwekeza dola bilioni 1 katika miaka mitano ijayo Oktoba mwaka jana. Kituo hicho ni uwekezaji wa pili mkubwa wa Google wa utafiti na maendeleo barani Afrika, baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kuanzisha AI na kituo cha utafiti nchini Ghana mnamo 2019.

Google inajiunga na orodha inayokua ya kampuni kubwa za teknolojia zinazoanzisha kitovu cha uvumbuzi jijini Nairobi. Wiki mbili zilizopita na muda mfupi baada ya Microsoft kuzindua kituo cha utafiti na maendeleo jijini Nairobi, Visa ilitangaza kwamba ilikuwa imeanzisha kituo chake cha kwanza cha uvumbuzi ili kuunda suluhu za malipo na biashara pamoja na washirika.
=====

Google has today announced the launch of a product development center in Nairobi, its first in the continent, to build “transformative” products and services for the African market and the world. This comes after the tech giant revealed plans to invest $1 billion over the next five years in October last year. The center is Google’s second major research and development investment in Africa, after the tech giant set up an AI and research center in Ghana in 2019.

Google said its will hire over 100 tech talent including software engineers, researchers and designers over the next two years to help solve difficult and technical challenges, such as improving the smartphone experience for people in Africa, or building a more reliable internet infrastructure, said Google VP for products, Suzanne Frey.

Google joins the growing list of tech giants setting up innovations hub in Nairobi. Two weeks ago and shortly after Microsoft launched a research and development center in Nairobi, Visa announced that it had set up its first innovation center to co-create payment and commerce solutions with partners.

“Africa has been at the forefront of innovation, and we believe that we are going to continue to develop and innovate right here from the continent,” said Google’s policy lead for Sub-Saharan Africa Charles Murito.

Google said it plans to continue building partnerships, products and services to get more people connected to the internet, support small and medium-sized businesses and non-profit organizations.

“We have 300 million people on the internet in the region [Africa] today. We also know that in the course of the rest of this decade, we’re going to have another half a billion people who will experience internet for the very first time, which is why it is incredibly important that we build products and experiences that are helpful to these people that are going to be experiencing the internet just in Africa,” said Google in Africa managing director, Nitin Gajria.
Mkuu kila kitu kinachohusu East Africa in terms of tech ni Kenya.
Kuna viproject nafanya na Google na Meta ila vyote vinahusiana na Kiswahili na Kiswahili ni Kenya.
Kama unatengeneza keywords kwa ajili ya pages mpya za Google inabidi hizo keywords ziwe specifically kwa Kenyan searches.
Kenya ni maaruf afrika kuliko nchi nyingi nadhani haikosi top 5. Na imekuwa ranked kama mojawapo ya hub bora Africa.
Sisi wazee wa domo domo tu.
 
Hatuna tofauti kubwa sana na wakenya,kuichagua Kenya kuweka vituo vyao vya biashara haileti hasara kwetu ukizingatia kuwa hayo ni mapenzi yao tu ya kuipenda Kenya,hatuwezi kulialia kwamba eti hatupendwi.
 
Kama tungetaka kuvutia kampuni za kimataifa. Labda tuujenge mji wa Arusha au Mwanza. Dar majoto mno na msongamano sioni ukiweza kuvutia multination coporations
 
Back
Top Bottom