Kenya inavyoachwa ikiwa imesimama!!! But why??

Status
Not open for further replies.

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Pamoja na worldbank kuzuiya pesa huku mambo kuchele. Ujenzi wa the New Salender Bridge umeanza rasimi. Magu hataki ujinga. It will be the longest cable bridge in East Africa and second cable bridge in Dar es salaam. πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘Expressway ya 8 lanes kutoka Mbezi hadi Kibaha imesha anza na tunajenga kwa pesa zetu wenyewe pia.πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ Vipi Likoni bridge ya Mombasa.? Uganda yao imekwisha.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Japo najua inawachoma lakini mvumilie.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…