Kenya inks Sh210 bn oil pipeline deal with Tullow

Kenya inks Sh210 bn oil pipeline deal with Tullow

Hakuna mtu mwenye akili timamu atatoa pesa kwa ajili ya huu mradi, kama Lamu port hadi leo hakuna nchi wa Bank iliyokubali kutoa pesa, itawezekanaje huu upate pesa? 750 barrels are too little for investors to salivate
Jubilee inaahadaa wapiga kura! Maraga atawanyorosha hakuna uchaguzi...[emoji23] [emoji115]
 
Hamna nchi ambayo imejenga pipe line kwa oil ambayo iko less than 1.5bn barrels. Hiyo itakuwa another white elephant project in the making.
 
🙁🙁🙁🙁🙁🙁my explanations were hopeless....anyway, you can believe whatever makes you happy bro

Hehehe! Hawa jamaa utachoka kuwaelewesha chochote, mimi huwapita kimya bila kuwajibu maana wanaishi kwa kukaririshwa. Unakuta walishakaririshwa kwamba eti SGR tumejutia, pamoja na kwamba kuna kipindi tulitolea maelezo ya kitaalam lakini wao huzunguka tu pale.
 
Hamna deal la namna hii, kama mlivyodanganywa kuhusu production kuanza July mwaka huu na mkashangilia, pia hii pipeline ni uongo na siasa tu. Tullow hawana ubavu wakati uwezo wa kujenga pipeline wao wenyewe.
 
Ukitaka kujua ukweli huu, Uganda wamegundua 6B barrels, latiki recovable yao ni 1.6B tu, ambayo itadumu kwa miaka kama 20 kama hawatogundua mafuta zaidi, soma kuhusu mafuta ya Uganda, then ulinganishe na Kenya ndiyo utajua kwamba kama Kenya haitogundua mafuta zaidi, hayo ya sasa sio economically profitable, ndiyo sababu hadi sasa hakuna ambaye yupo tayari kutoa pesa kwa ajili ya hilo bomba, ngoja mgundue mafuta zaidi yafike hata 3B barrels, muone jinsi watakavyo descend kuja kupigania kutoa pesa
Wengi tunaoongea nao humu wana Upeo mdogo sana kwenye resource economics! BTW intelligence news inasema GoK inajaribu ku-convince South Sudan kuunga na naona lakini Uhuruto govt haiko in good terms na Kiir govt na pili Total oil wana-control all the southern most exploration blocks ikimaanisha lazma wambong'olee Total oil.
 
Wengi tunaoongea nao humu wana Upeo mdogo sana kwenye resource economics! BTW intelligence news inasema GoK inajaribu ku-convince South Sudan kuunga na naona lakini Uhuruto govt haiko in good terms na Kiir govt na pili Total oil wana-control all the southern most exploration blocks ikimaanisha lazma wambong'olee Total oil.
So between you and tullow engineers who is in a position to tell us if it's economically viable???so you're telling us tullow is pouring over $2b knowing there will be no returns??mazombies na ujuaji, tumewazoea ata topics za sgr na lamu port zilianza hivi
 
So between you and tullow engineers who is in a position to tell us if it's economically viable???so you're telling us tullow is pouring over $2b knowing there will be no returns??mazombies na ujuaji, tumewazoea ata topics za sgr na lamu port zilianza hivi
Tullow haina fedha hizo as a matter of fact bankrupt! That's where the problem starts no bank can give a loan guaranteed by a company in bankruptcy!
That announcement is a pure election lie!
 
Tullow haina fedha hizo as a matter of fact bankrupt! That's where the problem starts no bank can give a loan guaranteed by a company in bankruptcy!
That announcement is a pure election lie!
Si we ndo ulkua hapa unatuambia ati Kenya will join Uganda-tanzania pipeline [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Tullow haina fedha hizo as a matter of fact bankrupt! That's where the problem starts no bank can give a loan guaranteed by a company in bankruptcy!
That announcement is a pure election lie!
Same na sgr na lamu port zilkua election lies remember [emoji3]
 
So between you and tullow engineers who is in a position to tell us if it's economically viable???so you're telling us tullow is pouring over $2b knowing there will be no returns??mazombies na ujuaji, tumewazoea ata topics za sgr na lamu port zilianza hivi
Mbona husomi kwa makini hii taarifa iliyoletwa na mwenzako? inasema makubaliano hayo kati ya Tullow na GoK yanatoa leeway kwa serikali ya Kenya kuanza kutafuta pesa, sio Tullow watatoa pesa, soma vizuri kabla ya kuchangia huu mjadala
 
Tullow haina fedha hizo as a matter of fact bankrupt! That's where the problem starts no bank can give a loan guaranteed by a company in bankruptcy!
That announcement is a pure election lie!
Wekea sisi picha za all your white elephants..... Hehehe.
 
750 mn barrels is enough for commercialization...just do the math and you'll see...those oil reserves at Turkana are worth over $30B....now what is $2.3B for a pipeline if you are going to get more than $30B?
Turkana oil to earn Kenya Sh6.4 trillion in 23 years
“The Turkana people want 30 per cent of the oil revenue. That is 10 per cent to the community and 20 per cent to the county government. If President Uhuru Kenyatta does not sign it, all oil operations will be suspended.”

The bone of contention? How to share the expected petro dollars. Turkana leadership has been pushing for a 10 percent of the revenue to go to the community while the government is pushing for 5 percent.

So far Tullow has discovered 750 million barrels of oil. Yesterday, a barrel of crude oil was trading at $52 (Sh5,391). This means Kenya has $39 billion (Sh4.043 trillion) worth of oil in its belly. This could soar to $52 billion (Sh5.391 trillion) at the end of the year according to projections which show the crude find will hit a billion barrels.

This means that the 10 percent the Turkana leadership wants to go to the community translates to Sh520 billion or 50 times what the arid country receives per year from the national government.
Wait a minute....kwanini mnalazimisha hivyo?
 
Hehehe! Hawa jamaa utachoka kuwaelewesha chochote, mimi huwapita kimya bila kuwajibu maana wanaishi kwa kukaririshwa. Unakuta walishakaririshwa kwamba eti SGR tumejutia, pamoja na kwamba kuna kipindi tulitolea maelezo ya kitaalam lakini wao huzunguka tu pale.
Maelezo ya kitaalamu yapi yatakayoweza kuhalalisha gharama kubwa iliyotumika kujenya reli ya diesel, yenye kasi ndogo, yenye uwezo mdogo wa kubeba mizigo, na inayotumia teknolojia ya kizamani lakini bei yake iwe mara mbili zaidi?,
 
Mbona husomi kwa makini hii taarifa iliyoletwa na mwenzako? inasema makubaliano hayo kati ya Tullow na GoK yanatoa leeway kwa serikali ya Kenya kuanza kutafuta pesa, sio Tullow watatoa pesa, soma vizuri kabla ya kuchangia huu mjadala
Hili Fala lilikuwa na blog yake ilikuwa full of propaganda sijui imeishia wapi? Linaumwa ugonjwa wa jingoism!
 
Maelezo ya kitaalamu yapi yatakayoweza kuhalalisha gharama kubwa iliyotumika kujenya reli ya diesel, yenye kasi ndogo, yenye uwezo mdogo wa kubeba mizigo, na inayotumia teknolojia ya kizamani lakini bei yake iwe mara mbili zaidi?,
Khsbhy SGR hata kagame alifunguka alisema SERIKALI ya Uhuru imewatapeli wakenya kwa kuwaletea train ya miaka ya 50's kwa gharama kubwa sana ndio maana wao waka opt kuwa na Tanzania
 
Hili Fala lilikuwa na blog yake ilikuwa full of propaganda sijui imeishia wapi? Linaumwa ugonjwa wa jingoism!
Wakenya wengi sana wapo hivyo, wanamatatizo makubwa ya kushindwa kuchambua mambo kwa undani na kukubaliana na ukweli, hasa ukweli ambao wao hawaupendi, huku tunasema ule ukweli mchungu, matokeo yake wanajipa matumaini ya uongo ambayo yanawapeleka kubaya.

Ukisoma ilivyoandikwa hii article, huyo aliyeandika ameonyesha kama vile hizo 750M barrels zito zitapatikana 100%, na kwa bahati mbaya wakenya humu jamvini wanasoma na kuamini kama ilivyo bila hata kujiuliza, siamini kwamba wakenya humu hawana uelewa kiasi cha kushindwa kujua kwamba ni 30% pekee ndiyo inayopatikana, wanajua hilo ila ni ukweli mchungu wasiotaka kuusikia kwa hiyo wanauweka pembeni ili kutimiza lengo lao la kupata sifa za kijinga.
 
Wakenya wengi sana wapo hivyo, wanamatatizo makubwa ya kushindwa kuchambua mambo kwa undani na kukubaliana na ukweli, hasa ukweli ambao wao hawaupendi, huku tunasema ule ukweli mchungu, matokeo yake wanajipa matumaini ya uongo ambayo yanawapeleka kubaya.

Ukisoma ilivyoandikwa hii article, huyo aliyeandika ameonyesha kama vile hizo 750M barrels zito zitapatikana 100%, na kwa bahati mbaya wakenya humu jamvini wanasoma na kuamini kama ilivyo bila hata kujiuliza, siamini kwamba wakenya humu hawana uelewa kiasi cha kushindwa kujua kwamba ni 30% pekee ndiyo inayopatikana, wanajua hilo ila ni ukweli mchungu wasiotaka kuusikia kwa hiyo wanauweka pembeni ili kutimiza lengo lao la kupata sifa za kijinga.
Nina uhakika hamna bank ita-finance huu mradi.
 
Back
Top Bottom