Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Sie hatujakuwa na mgao wa umeme kwa miaka zaidi ya tano sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania haitegemei gridline moja!Bongo yenyewe Miezi miwili nyuma kama sikosei Tuli experience hio blackout, Grid iliporomoka Watu wote walio connected na grid ya taifa walipata hio blackout kuna mtu alitumbuliwa ili last for 7 hours wakaanza kurestore mdogo mdogo
Hio EAPP ( East Africa Power Pool) inayotaka kuwa established bila smart grid hio interconnection ikifanyika unaweza kuta mzigo ukashuka EA nzima tukawa kwenye blackout. Kuna line inatoka isenya Kenya via Namanga inaenda Singida 400kV
When Kenya gets a blackout, it's trending news the same way it'd trend if a gazelle killed and ate a lion. To our southern brothers however, it's a normal occurrence.
Woiiee Geza anashindanga kenyan news section waiting for anything bad to happen, so saad
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeme umerudi one hour ago.Kenya is the best English speaking country....wako gizani mafuta yameisha
Sent using Jamii Forums mobile app
TANESCO bado sanaa, wao labda watumie twiga.Aisee matengenezo wanafanya na helicopter ,TANESCO ha ha habari ndio hiyo.
Zimezima wapi wewee. Na wakati tunawasoma tuUpo peke yako humu wenzio simu zimezima!
Which helicopter? andika kwa kiingereza ueleweke!Geza natumai umeona jinsi middle income inaunda umeme kwa kutumia helicopter. Jambo ambalo nyie hamuwezi kufanya.
after 7 hours!
Unajua hata maana ya Grid kweli mkuu ina grid ngapi?Tanzania haitegemei gridline moja!
what's so special over this? Ur roads r impassable a reason u had to use helicoptersTANESCO bado sanaa, wao labda watumie twiga.Hii ilikuwa Tower 26, Kiambu dakika 45 baada ya umeme kupotea Kenya na Uganda, lisaa limoja baadaye umeme ulikuwa umesharejea Nairobi na gatuzi la Machakos.![]()
Nimetizama NTV video naona hadi fault wame locate kwa kutumia helicopter. TANESCO benchmark tour Kenya muhimu.TANESCO bado sanaa, wao labda watumie twiga.Hii ilikuwa Tower 26, Kiambu dakika 45 baada ya umeme kupotea Kenya na Uganda, lisaa limoja baadaye umeme ulikuwa umesharejea Nairobi na gatuzi la Machakos.![]()
Kwani wewe ndumakuwili unadhani neno "helicopter" ni kichagga?which helicopter? andika kwa kiingereza ueleweke!
what's so special over this? Ur roads r impassable a reason u had to use helicopters
Naona unabadilisha rangi zaidi ya kinyonga. Power blackout ni emergency na response ya dharula huwa inahitajika kwa kila emergency. Mido inkamu tings, kula kwa macho tu.which helicopter? andika kwa kiingereza ueleweke!
Naona unabadilisha rangi zaidi ya kinyonga. Power blackout ni emergency na response ya dharula huwa inahitajika kwa kila emergency. Mido inkamu tings, kula kwa macho tu.
What the difference? if we have helicopters that one can drop through a cord?
What the difference? if we have helicopters that one can drop through a cord?
leta helicopter imeandikwa KPL!NO, Kenya Power has helicopters to do emergency maintenance and patrol ...
TANESCO does not...labda watumie za TPDF,