Kenya is losing on its stock market as for Tanzania is doing better and becoming strong(2017)

Kenya is losing on its stock market as for Tanzania is doing better and becoming strong(2017)

Weaaaaaak weak weak analysis!

You got the image from this article : The best and worst performing African currencies of 2016 , which was discussing African currency performance for 2016. The graph provided no discussion as to the factors that led to the shrinking of those stock exchange (in % terms and not in overall market capitalization ). Mind you all the stock exchanges mentioned there that shrunk dwarf the DSE so badly sitaki kuaibisha majirani ovyo.
Meantime a cursory glance at the listed securities on the DSE and close to half are kenyan!!!!

Weak weaaaak analysis!!
Point blank
 
Mimi kizungu sijui mkuu!
Kuna mtoto kanionyesha!
Kijana punguza hasira. Najua haya maendeleo yanakuathiri sana hapo Kariakoo, na hasa kwa kodi ya pango unayolipa. Nikushauri tu nenda na kasi mabadiliko, Badala ya zile safari za kufata bidhaa Guangzhou na Dubai au Kenya wewe sasa tafuta masoko huko uwauzie bidhaa zetu km ulivyoona hiyo image ya pipe iliyopostiwa na wenzako.

Mkibaki kuimba mipasho tu humu, hawa Wakenya wanaitumia km sehemu muhimu ya kupata business opportunity na mtashangaa wao ndio wanafanya marketing ya products zetu huko nchi jirani halafu wewe ukabaki na hizo chupi unauza hapo kkoo baada ya biashara ya kufata nje kudoda.
 
Kijana punguza hasira. Najua haya maendeleo yanakuathiri sana hapo Kariakoo, na hasa kwa kodi ya pango unayolipa. Nikushauri tu nenda na kasi mabadiliko, Badala ya zile safari za kufata bidhaa Guangzhou na Dubai au Kenya wewe sasa tafuta masoko huko uwauzie bidhaa zetu km ulivyoona hiyo image ya pipe iliyopostiwa na wenzako.

Mkibaki kuimba mipasho tu humu, hawa Wakenya wanaitumia km sehemu muhimu ya kupata business opportunity na mtashangaa wao ndio wanafanya marketing ya products zetu huko nchi jirani halafu wewe ukabaki na hizo chupi unauza hapo kkoo baada ya biashara ya kufata nje kudoda.
Sijui umejuaje kuwa my wife wako ni mteja wangu mkubwa wa chupi!
 
Bado safari ndefu, tumechelewa kuzinduka, yabidi tukimbie sasa...
 
Back
Top Bottom