Kenya is more dark at night compared to Tanzania..

Utawaweza manyang'au, watakuja na data fake kupinga haya, bure kabisa wale...
 
Usilie sana kama mtoto mdogo...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 988260

Hapa nakupa ramani iliyo kwenye website ya NASA, hata sijui kama unafahamu NASA ni mnyama gani, wachana na light polution map maana hata hiyo hujui ni nini...

 
Usilie sana kama mtoto mdogo...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 988260
Umechukua kikombe kwa ujinga, why bring us fake distribution here? From the second map I can see Central Africa Republic has no electricity. There is only one dot, so that means that they don't have electricity at all?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nakupa ramani iliyo kwenye website ya NASA, hata sijui kama unafahamu NASA ni mnyama gani, wachana na light polution map maana hata hiyo hujui ni nini...

πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Nimekupatia satellite map unaliaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Hivi uliambiwa NASA ndowamiliki pekee wa satellite duniani.??πŸ˜…πŸ˜… Kwa taarifa yako Russia wanakitengo cha technology ya anga nzuri kwa sasa duniani....πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Eti achana na light polution...!!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Who are you to lecture me *ool.??🀣🀣
 
Wewe endelea kulia tu...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Hapa hamchomoki
 
Ni dhahiri kwamba hawa watoto wa megaFOOLi hawakufunzwa jiografia.
Nusu ya Kenya ni jangwa and it's sparsely populated that's why dots are limited compared to the other half of Kenya where it's densely populated
Huko jangwani nyumba ni chache sana sasa wajinga wengine wanatarajia pafanane na kwingine.
 
If that's the case Then Kisumu is more brighter than Dar,

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…They are only three places with red spots indicating to be brighter in East Africa....That is Dar es salaam, Kampala and Nairobi....Do you see Kisumu with a red dot??πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kwa hiyo usiku mnazima taa au umeme ulikatika wakati satelaiti image inachukuliwa? Wakenya ni wabishi sana yaani unabishana na picha ya satelaiti duh....

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…mtu jobless lazima awe mbishiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kwa hiyo usiku mnazima taa au umeme ulikatika wakati satelaiti image inachukuliwa? Wakenya ni wabishi sana yaani unabishana na picha ya satelaiti duh....

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Tulikua tumelala
 
Uganda is even better than you guys...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Tulikua tumelala
Hahaaa.....sasa mnazima taa zote za ndani, za nje za barabarani na kwingineko kote mnazima? Kwani umeme nibwa kwenu au ni wa China?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…