Kenya is more dark at night compared to Tanzania..

Kenya is more dark at night compared to Tanzania..

This thread iende na twitter lazima wazee wa handshake wakachukue mkopo China kusambaza umeme Kenya.....

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hahaaa.....sasa mnazima taa zote za ndani, za nje za barabarani na kwingineko kote mnazima? Kwani umeme nibwa kwenu au ni wa China?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Ndio. Wa mwisho alizima taa zote. Tukilala, tumelala.
 
Umechukua kikombe kwa ujinga, why bring us fake distribution here? From the second map I can see Central Africa Republic has no electricity. There is only one dot, so that means that they don't have electricity at all?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kenya ukiondoa Nai, Msa na Kisumu kwengine kote hamna umeme! Ni sawa na wanapo taja watu wenye pesa hawawezi taja ata mtu ambae ana ma coins! Teargass you should just swallow this, you can shed tears while at it. KENYA IS A DARK COUNTRY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Kenya ukiondoa Nai, Msa na Kisumu kwengine kote hamna umeme! Ni sawa na wanapo taja watu wenye pesa hawawezi taja ata mtu ambae ana ma coins! Teargass you should just swallow this, you can shed tears while at it. KENYA IS A DARK COUNTRY

Sent using Jamii Forums mobile app
Is this the the answer to my question? You haven't answered if Central Africa Republic has no electricity because it has one dot.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Kenya ukiondoa Nai, Msa na Kisumu kwengine kote hamna umeme! Ni sawa na wanapo taja watu wenye pesa hawawezi taja ata mtu ambae ana ma coins! Teargass you should just swallow this, you can shed tears while at it. KENYA IS A DARK COUNTRY

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona uondoe nai, msa na Kisumu? Hizi miji ni Kenya ndugu. Huwezi ondoa kiujinga hivi.

Mtanzagiza ni mtu wa kusikitisha sana.
 
Watanzania saidieni mandugu zenu. Wanawaaibisha bureee
 
🤣🤣😅😅😅Nimekupatia satellite map unalia😅😅😅 Hivi uliambiwa NASA ndowamiliki pekee wa satellite duniani.??😅😅 Kwa taarifa yako Russia wanakitengo cha technology ya anga nzuri kwa sasa duniani....😅😅😅Eti achana na light polution...!!😅😅😅 Who are you to lecture me *ool.??🤣🤣

Am not lecturing you, am just perturbed by your lack of knowledge and basic education, get someone to educate you the meaning of 'light pollution'.
Halafu japo Roscosmos ya Warusi ndio ilianza mambo ya sayari za nje mapema na wakagundua mengi, ila dunia ya kisasa hakuna wa kumzidi NASA, japo hii sio level ye uelewa wako, hivyo wewe sio mtu wa kujadili naye mambo kama haya.

Kwa mara ya mwsho nakupa elimu ya bure kuhusu Kenya, Wakenya tunaishi kwa wingi kwenye mkondo wa Kusini kuanzia Pwani hadi mpaka wa Uganda na Kenya, lakini Kaskazini ni jangwa tupu, huko utakuka maeneo madogo madogo ambako wanaishi watu. Lakini Tanzania kila kona ina rotuba na wanaishi watu, lakini cha kushangaza, kaeneo kadogo wanakoishi Wakenya kanazidi mataifa yote ukanda huu kwa kila kitu ikiwemo usambazaji wa umeme, urefu wa barabara na mengine yote.
 
Kwani Kenya ukiondoa Nai, Msa na Kisumu kwengine kote hamna umeme! Ni sawa na wanapo taja watu wenye pesa hawawezi taja ata mtu ambae ana ma coins! Teargass you should just swallow this, you can shed tears while at it. KENYA IS A DARK COUNTRY

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwakumpatia elimu...👏👏👏
 
Huu uongo hadi Burundi watuzidi!!

Mombasa is brighter than Dar

Western Kenya (around L. Victoria ) is very bright

Nairobi acha and central also bright.

That's 90% Kenya's pop...not many Kenyans live in the north.

For Tz only small small dots... Dar has a better dot... Tumia macho Nugu hii


Sent using Jamii Forums mobile app

Dot ndogo ndogo.. Yani ata Mombasa imechapa dar


Sent using Jamii Forums mobile app


Huwa wanajiaibisha hivyo, jamaa atakurupuka kuanzisha uzi bila kuangalia kwa makini kwanza na kuhakikisha kama anachodhania ndicho. Yaani picha iko wazi inaonyesha Mombasa imeizidi Dar kwa mwanga usiku, hapo hujataja maeneo mengine Kenya, kwa mfano naona Kisumu na viunga vyake imewaka kuzidi mji wowote Tanzania.


Ni wazi kwamba Kaskazini Kenya ni jangwa tupu, hivyo kiza huko ni jambo la kawaida, maana nusu ya Kenya ni kame tupu, lakini ukiangalia nusu ya Kenya ambayo tumewekeza na kuishi, ina mwanga zaidi ya mataifa yote ya mashariki mwa Afrika na Kati.


Jamaa unajiaibisha mwenyewe. Unaiaibisha nchi yako na wananchi wenzako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii hapa umefanyiwa uelewe. Jiografia ndio shida ama ujinga tu? [emoji23][emoji23]View attachment 987845


Mombasa is brighter than Dar

Western Kenya (around L. Victoria ) is very bright

Nairobi acha and central also bright.

That's 90% Kenya's pop...not many Kenyans live in the north.

For Tz only small small dots... Dar has a better dot... Tumia macho Nugu hii


Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa unajiaibisha mwenyewe. Unaiaibisha nchi yako na wananchi wenzako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii hapa umefanyiwa uelewe. Jiografia ndio shida ama ujinga tu? [emoji23][emoji23]View attachment 987845
Mimi sioni kitu Tanzania madot ndogo tu


Sent using Jamii Forums mobile app

Tanzanian cities are less dense which translates to the low intensity of light you see on the map. The more people with power living in a square mile (dense) the more luminous the area looks, putting everything equal.

If you guys learned a bit about the nature of light and how radiation works you would understand things like flux density and the logarithmic nature of intensity (brightness) which explains everything you are puzzled with.
 
Mbona uondoe nai, msa na Kisumu? Hizi miji ni Kenya ndugu. Huwezi ondoa kiujinga hivi.

Mtanzagiza ni mtu wa kusikitisha sana.
Wewe ndoujaelewa alichokuwa anamanisha hapo...🤣🤣🤣😅😅😅
 
Tanzanian cities are less dense which translates to the low intensity of light you see on the map. The more people with power living in a square mile (dense) the more luminous the area looks, putting everything equal.

If you guys learned a bit about the nature of light and how radiation work you would understand things like flux density and the logarithmic nature of intensity (brightness) which explains everything you are puzzled with.
Please try again, but this time round harder. The rumour isn't coming out well.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am not lecturing you, am just perturbed by your lack of knowledge and basic education, get someone to educate you the meaning of 'light pollution'.
Halafu japo Roscosmos ya Warusi ndio ilianza mambo ya sayari za nje mapema na wakagundua mengi, ila dunia ya kisasa hakuna wa kumzidi NASA, japo hii sio level ye uelewa wako, hivyo wewe sio mtu wa kujadili naye mambo kama haya.

Kwa mara ya mwsho nakupa elimu ya bure kuhusu Kenya, Wakenya tunaishi kwa wingi kwenye mkondo wa Kusini kuanzia Pwani hadi mpaka wa Uganda na Kenya, lakini Kaskazini ni jangwa tupu, huko utakuka maeneo madogo madogo ambako wanaishi watu. Lakini Tanzania kila kona ina rotuba na wanaishi watu, lakini cha kushangaza, kaeneo kadogo wanakoishi Wakenya kanazidi mataifa yote ukanda huu kwa kila kitu ikiwemo usambazaji wa umeme, urefu wa barabara na mengine yote.
Andika kitabu kuhusu hii mada...lakini ukweli ni huu...👇👇👇 Distribution ya umeme Kenya inasikitisha sanaaa....🤣🤣🤣😅😅😅
2019-01-06_18.08.12.jpg
 
Hapa nakupa ramani iliyo kwenye website ya NASA, hata sijui kama unafahamu NASA ni mnyama gani, wachana na light polution map maana hata hiyo hujui ni nini...

blackmarble2016-1500px_0.jpg
😂😂😂 Sasa na hii pia huoni kama imeipendelea Tanzania? Kila mnapopagusa pamoto.

REA ndio mpango mzima 2020 Tanzania nzima inakua powered, Rufiji ukikamilika ndio balaa
 
Back
Top Bottom