Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Hebu.....kwanza alisomanga wapi? Ngonja niangalie profile yake Wikipedia.good point bro....hizo vitu zote ni inventions za the white man...this Malema guy hata ukiskia venye anaongea, I think he is not well-educated...he doesn't have a point actually..
Hahahahahaha, msumari wa moto, ukishamaliza kujua elimu yake, angalia pia elimu ya Ngugi wa Thiong'o, aliyeandika "This time tomorrow".Hebu.....kwanza alisomanga wapi? Ngonja niangalie profile yake Wikipedia.
niliangalia vizuri tena... hakulaumu Kenya wala zimbabwe... Alitaja hizo nchi akiongezea point tu.. yeye alikua anaongelea kuhusu SA na Africa nzima... alichoongelea kuhusu kenya ni kitu aliona ule wakati majaji wa kenya walipinga uchaguzi mkuu... kila nchi africa ilionyesha hio kesi kwa runinga....Acha kupotosha Maneno yake, yeye alianza kulaumu zimbabwe na Kenya kwa majaji kuendeleza utamaduni wa wakolini wakati hizi nchi zimeshajitawala, ila akakumbuka kwamba hapaswi kuilaumu Kenya kwasababu bado ni koloni la wazungu.
Malema hajasema kitu kipya, yote yamo kwenye vitabu vya "Not yet Uhuru" na "This time tomorrow", ninahisi Amesoma hivyo vitabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
He is very dull in the head, obviously, look at him, with his mzansi eksenti. [emoji1]good point bro....hizo vitu zote ni inventions za the white man...this Malema guy hata ukiskia venye anaongea, I think he is not well-educated...he doesn't have a point actually..
WashambaHuwa na shobo sana kwa wazungu, I once visited their capital city Nairobi and I was really embarrassed when one asshole stopped me not to enter a v.i.p part of a hotel just because mi ni black and so they thought I was broke. I will never forget this act and I have lost my respect to these people since then.
Acha kukwepesha mada, Malema amechukizwa na kitendo cha majaji wa Zimbabwe na Kenya kuendelea kuvaa wigi ili nywele zao zionekane sawa na wazungu wakati Zimbabwe waliwafukuza wazungu, ameshangaa kuona serikali iliyowafukuza wazungu lakini bado inakumbatia utamaduni wao wa kuvaa wigi na kupendelea English,niliangalia vizuri tena... hakulaumu Kenya wala zimbabwe... Alitaja hizo nchi akiongezea point tu.. yeye alikua anaongelea kuhusu SA na Africa nzima... alichoongelea kuhusu kenya ni kitu aliona ule wakati majaji wa kenya walipinga uchaguzi mkuu... kila nchi africa ilionyesha hio kesi kwa runinga....
Huyo malema ukimwambie achunguze Tz atakua na mengi ya kusema pia..
KWA mfano, coart of arms bunge lenu na mace hadi leo badoinaonyesha mko under queens rule...
Kuna kofia ya malkia
kafrican kaangalia juu juu tu, ngoja aangalie vizuri ataelewa.Acha kukwepesha mada, Malema amechukizwa na kitendo cha majaji wa Zimbabwe na Kenya kuendelea kuvaa wigi ili nywele zao zionekane sawa na wazungu wakati Zimbabwe waliwafukuza wazungu, ameshangaa kuona serikali iliyowafukuza wazungu lakini bado inakumbatia utamaduni wao wa kuvaa wigi na kupendelea English,
Yeye anapendekeza Kiswahili kiwe lugha ya Africa wakati ninyi wakenya mnakidharau na kupendelea English, ila baadae akajistukia kwa kuilaumu Kenya kwasababu anadhani Kenya bado Haijapata uhuru kamili, Kenya Bado kiuchumi na kifikra mpo under control ya wazungu, inawauma lakini huo ndio ukweli, dunia nzima inajua hivyo, ndio sababu kamwe South African haitpkubali kuondoa visa kwa Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1490][emoji1490][emoji1490]But the rejection of that one colonial relic by ONE South African does not in any way mean that South Africans are more self concious than us. You are very twisted my friend, just like that radical, and may I say, irrational politician Julius Malema.
We can as well give up on our modern way of life: going back to our wattle huts, back clothes, no motor vehicles, no western education, no xhristianity or Islam, no govt, no cities, no electricity, no computers or phones or radios or newspapers....
Why are we not talking about pilots, waiters, firemen, police, soldiers, office workers, nurses, doctors, etc ways of dressing?
Oh, even our schooling system adopted the idea of kids wearing uniforms from our colonial masters...
Can u see how petty we've become....to seem 'self concious'?
Being African is something deeper than the judiciary wigs, and the other ideas we have borrowed/inherited from other cultures, and entrenched into our own.
Haya basi. Ashasema. So what?Acha kukwepesha mada, Malema amechukizwa na kitendo cha majaji wa Zimbabwe na Kenya kuendelea kuvaa wigi ili nywele zao zionekane sawa na wazungu wakati Zimbabwe waliwafukuza wazungu, ameshangaa kuona serikali iliyowafukuza wazungu lakini bado inakumbatia utamaduni wao wa kuvaa wigi na kupendelea English,
Yeye anapendekeza Kiswahili kiwe lugha ya Africa wakati ninyi wakenya mnakidharau na kupendelea English, ila baadae akajistukia kwa kuilaumu Kenya kwasababu anadhani Kenya bado Haijapata uhuru kamili, Kenya Bado kiuchumi na kifikra mpo under control ya wazungu, inawauma lakini huo ndio ukweli, dunia nzima inajua hivyo, ndio sababu kamwe South African haitpkubali kuondoa visa kwa Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa wewe umeludi !!!! Eti ndoo moja ya kokoto unauza sh ngapi[emoji1490][emoji1490][emoji1490]
Acheni kimbelembele kujifanya wajuaji, be humble like TanzaniansHaya basi. Ashasema. So what?
Nchi ni yetu, shida yenu ni gani?
Acheni ushoga
Acha kupanic sasaHaya basi. Ashasema. So what?
Nchi ni yetu, shida yenu ni gani?
Acheni ushoga
Rafiki, mbona umekazana na sanctions? You as part of American imperialism will never experience sanctions from them. They own you. Sanctions is for independent countries like Tz, Russia, China, North Korea etc. Jomo Kenyatta agreed for Kenya to be under American imperialism, Moi tried but failed to get out. They still own you. The war with Alshabaab wasn't yours to fight but you had no choice. Alshabaab is not a threat to Kenya in itself, you just had to have stronger boarders. If it wasn't for USA Aboud Rogo and Co wouldn't recruit Kenyans to fight for Alshabaab. Alshabaab should have been the African Union fight with Ethiopia and Eritrea joining as independents because they have a lot to lose.then that is indirect control...meaning they cannot simply call Uhuru Kenyatta and order him to 'start a war' or something...plus it is totally normal for powerful nations like the US and China to have political, economic and military influence on much weaker nations...ndio maana huwa zinaitwa superpower...but it doesn't mean that they can interfere with the running of a country or force a country to move in a specific direction...kama ingekuwa hivyo then they wouldn't need to impose sanctions...
Acha kukwepesha mada, Malema amechukizwa na kitendo cha majaji wa Zimbabwe na Kenya kuendelea kuvaa wigi ili nywele zao zionekane sawa na wazungu wakati Zimbabwe waliwafukuza wazungu, ameshangaa kuona serikali iliyowafukuza wazungu lakini bado inakumbatia utamaduni wao wa kuvaa wigi na kupendelea English,
Yeye anapendekeza Kiswahili kiwe lugha ya Africa wakati ninyi wakenya mnakidharau na kupendelea English, ila baadae akajistukia kwa kuilaumu Kenya kwasababu anadhani Kenya bado Haijapata uhuru kamili, Kenya Bado kiuchumi na kifikra mpo under control ya wazungu, inawauma lakini huo ndio ukweli, dunia nzima inajua hivyo, ndio sababu kamwe South African haitpkubali kuondoa visa kwa Kenya.
Sent using Jamii Forums
Wewe acha Kelele, Kenya not yet Uhuru, alichokisema Malema ni kilekile walichokisema wasomi wa Kenya katika vitabu vya "Not yet Uhuru" na "This time tomorrow", au hata hao pia unapinga walioandika?.
Are you done?But the rejection of that one colonial relic by ONE South African does not in any way mean that South Africans are more self concious than us. You are very twisted my friend, just like that radical, and may I say, irrational politician Julius Malema.
We can as well give up on our modern way of life: going back to our wattle huts, back clothes, no motor vehicles, no western education, no xhristianity or Islam, no govt, no cities, no electricity, no computers or phones or radios or newspapers....
Why are we not talking about pilots, waiters, firemen, police, soldiers, office workers, nurses, doctors, etc ways of dressing?
Oh, even our schooling system adopted the idea of kids wearing uniforms from our colonial masters...
Can u see how petty we've become....to seem 'self concious'?
Being African is something deeper than the judiciary wigs, and the other ideas we have borrowed/inherited from other cultures, and entrenched into our own.