Kenya is not totally independent.... - Julius Malema

Kenya is not totally independent.... - Julius Malema

the fact that large area of kenyan land is still owned by few powerful white settlers, then julius malema's opinion sounds reasonable.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 852822View attachment 852825View attachment 852826View attachment 852827View attachment 852828View attachment 852829View attachment 852830View attachment 852831View attachment 852832View attachment 852833View attachment 852834View attachment 852835View attachment 852836
Ukichanganya na zile 500,000 hectares za Kenyatta family, 90% of Kenyans are dwellers living in squatters owned by Landloards! Wap Criticos the whole of Taveta is his over 100,000 hectares!
 
Mtakapoacha kutumia katiba mliyoandikiwa na mjerumani 1897 ndipo tutakapoanza kusikiza mawaidha yenu. Eti wakenya amkeni! [emoji1]
Lawyers in Kenya Wear wig
DNADVOCATES0412G.jpg


home+sub+3+pix.jpg


Tanzania Lawyers
tanzania_lawyers_to_be_supervised_by_ag_minister_says_h12560_de281.JPG


stchristina.gif
 
Mtakapopata uhuru kamili ndipo mje tuzungumze, zimebaki nchi mbili Afrika kupata full independence, West Sahara na Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiambiwa wao bado koloni, wanaanza kunajaza mapovu humu.
tanzania_chief_justice_reminds_judges_on_childrens_privacy_h20758_3ac7f.jpg
Ndio huyu mwanachama mkubwa wa CCM akiwa amechapilia rinda na taulo la kikoloni shingoni wakati anatekeleza katiba iliyoandikwa na mjerumani 1897. Kwa ushamba wenu mlitupilia wigi kando bila ya kubadilisha sare wala katiba alafu ndio mnajiambia mmefika?
 
tanzania_chief_justice_reminds_judges_on_children_privacy_h20758_3ac7f.jpg
Ndio huyu mwanachama mkubwa wa CCM akiwa amechapilia rinda na taulo la kikoloni shingoni wakati anatekeleza katiba iliyoandikwa na mjerumani 1897. Kwa ushamba wenu mlitupilia wigi kando bila ya kubadilisha sare wala katiba alafu ndio mnajiambia mmefika?
Katiba mliyoandika chini ya usuluhishi wa Tanzania, bahati mbaya mumeifungia kabatini hamuifanyii kazi, bado ardhi inamilikiwa na wazungu na politicians, bado tribalism, corruption, crime na gap Kati ya matajiri na masikini linaongezeka, Tanzania itaendelea kuongoza kama the most democratic state in EAC kwa muda mrefu sana.
Kenya ranked as 'failed state'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tanzania_chief_justice_reminds_judges_on_childrens_privacy_h20758_3ac7f.jpg
Ndio huyu mwanachama mkubwa wa CCM akiwa amechapilia rinda na taulo la kikoloni shingoni wakati anatekeleza katiba iliyoandikwa na mjerumani 1897. Kwa ushamba wenu mlitupilia wigi kando bila ya kubadilisha sare wala katiba alafu ndio mnajiambia mmefika?
UK

1063247203.jpg

VS
Kenya
ADVOCATES.jpg
 
Tangia enzi za wazee wa ndemi na mathathi ni chaguzi nne tu za urais ambazo zimebatilishwa, dunia nzima! Moja kati ya hizo ilibatilishwa Afrika, Kenya. Walioandika historia hiyo ndio hawa hapa.
rtx3dmax.jpg
.....na walifanya hayo yote bila ya kuvalia hizo wigi. Jielimisheni ndugu zanguni. Kenyan Judges Make History
 
Tangia enzi za wazee wa ndemi na mathathi ni chaguzi nne tu za urais ambazo zimebatilishwa, dunia nzima! Moja kati ya hizo ilibatilishwa Afrika, Kenya. Walioandika historia hiyo ndio hawa hapa.
rtx3dmax.jpg
Walifanya hayo yote bila ya kuvalia hizo wig. Jielimisheni ndugu zanguni. Kenyan Judges Make History
Kenya Judges with wig

00151722:0b29c88c8541a90335902de917100708:arc614x376:w614:us1.jpg


Judges-GH.jpg


csm_top-judge-in-kenya-an-adventist-nullifies-national-elections_9abc7bf99c.jpg
 
tanzania_chief_justice_reminds_judges_on_childrens_privacy_h20758_3ac7f.jpg
Ndio huyu mwanachama mkubwa wa CCM akiwa amechapilia rinda na taulo la kikoloni shingoni wakati anatekeleza katiba iliyoandikwa na mjerumani 1897. Kwa ushamba wenu mlitupilia wigi kando bila ya kubadilisha sare wala katiba alafu ndio mnajiambia mmefika?
Wewe unaona nyekundu unasema kama ya mkoloni, imeona manyoa ya kuku hapo? Au unafananiasha na nguo ya baba wa Noeli?
 
Wewe unaona nyekundu unasema kama ya mkoloni, imeona manyoa ya kuku hapo? Au unafananiasha na nguo ya baba wa Noeli?
Hiyo taulo shingoni si ni ya kufutia ute usoni baada ya kulala na kukoroma kwenye vikao mahakamani? Teh teh! [emoji1]
 
Hiyo taulo shingoni si ni ya kufutia ute usoni baada ya kulala na kukoroma kwenye vikao mahakamani? Teh teh! [emoji1]
Haha, siku hizi kwetu wafungwa wanafanyakazi tena inaweza kuwa kazi ngumu, wewe watanie tu hao wazee wasije wakatoa maagizo.
 
Haha, siku hizi kwetu wafungwa wanafanyakazi tena inaweza kuwa kazi ngumu, wewe watanie tu hao wazee wasije wakatoa maagizo.
Ah wapi bana. Wakitoa maagizo nami natoa yangu. Mano a mano! Kwani sikusimama uchi asubuhi asubuhi mtoni na nikatizama kisu kwa macho yangu mwenyewe? 😎
 
Weak and meaningless patriotism. Judges wear cloacks, neckties, wigs, etc. The cloack has its origin back to the Roman empire where all people with such level of authority would have wore it. More so, the wigs originate from the needed wisdom of old people. Judges were old gray-hair people.

The problem we are discussing here is that why continue wearing a blond, curled wig reflecting white man's hair? This is undeniably a weakness, much as Kenyans feel comfortable when associated with whiteman's identity, this is too much.
 
Back
Top Bottom