Kenya is the best for safari for the 3rd time in a row

Kenya is the best for safari for the 3rd time in a row

COLLOH-MZII RELOADED

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2017
Posts
7,544
Reaction score
3,131
02ea43a8930d349467cd16b831a5c6a6.jpg
5180fcb09cf9ca2f01a3000ca41d73ad.jpg
 
Kilimanjaro was Kenya's but Queen Victoria gave it to tz...kusaidia maskini...😀😀😀charity work
 
Congrats Kenya. In Tanzania we're busy buying and killing the opposition....
 
the safari thing was born in Kenya...we are the best...and imagine we have terrorism threats from Somalia...wengine wako na amani lakini bado LDC😀😀😀
Bora ldc but maishaa mazur but nyie wazee wa githeri hata kula milo miwili shida mweeee....ilaa kenya wasoijua ndio wanapagawaga but ukifika ukaona shida za wakenya mtaan aseee hali ni mbayaa ndio maana majambaz weng arusha utakuta yanatoka +254 sababu ya hali ngum kwao ...pambafu nyiiie
 
Bora ldc but maishaa mazur but nyie wazee wa githeri hata kula milo miwili shida mweeee....ilaa kenya wasoijua ndio wanapagawaga but ukifika ukaona shida za wakenya mtaan aseee hali ni mbayaa ndio maana majambaz weng arusha utakuta yanatoka +254 sababu ya hali ngum kwao ...pambafu nyiiie
Uboya wa watz ni kuwa wengi wao hawapendi kujiendeleza na kujituma. Wanapenda vije virahisi rahisi. Hakuna maisha kama hayo. Wakifika Kenya waone kila mtu ako bize na shughuli zake,hamna time ya kupoteza watu wanajinyima ile wawekeze kwa elimu ya watoto wao. Wanasema eti ni maisha ovyo. Big up Kenyans tutarudisha mrejesho baada ya miaka ishirini hivi. We tulia vijiweni ngoja wali wa mama uive.
 
Uboya wa watz ni kuwa wengi wao hawapendi kujiendeleza na kujituma. Wanapenda vije virahisi rahisi. Hakuna maisha kama hayo. Wakifika Kenya waone kila mtu ako bize na shughuli zake,hamna time ya kupoteza watu wanajinyima ile wawekeze kwa elimu ya watoto wao. Wanasema eti ni maisha ovyo. Big up Kenyans tutarudisha mrejesho baada ya miaka ishirini hivi. We tulia vijiweni ngoja wali wa mama uive.
Hapo ndio mnapoonesha kuwa mna shida yaan kupata ada ya mtoto au kuwekeza ndio ujibanie kula ????hahahaha watz mnaosema ldc wanasomesha wanawekeza na hela ya chakula na chakula chenyewe kipo cha kutosha hatuna haja ya kujinyima kula ili tuwekeze sehem hahahahah
 
Hapo ndio mnapoonesha kuwa mna shida yaan kupata ada ya mtoto au kuwekeza ndio ujibanie kula ????hahahaha watz mnaosema ldc wanasomesha wanawekeza na hela ya chakula na chakula chenyewe kipo cha kutosha hatuna haja ya kujinyima kula ili tuwekeze sehem hahahahah
Unajitia hamnazo lakini najua umenielewa. Wala sijataja chakula mimi. Culture ya wakenya ni kuwa kila mtu anajitakia yeye na familia yake na jamii pia the best money can offer. At any cost. Wakenya wanataka watoto wao wasome kwa the best schools wanataka wawe na projects yaani wameekeza kwenye sehemu flani ya uchumi. Kujituma hata kama wataumia. Ndo maana biashara za wakenya zipo tz lakini huku hatuwaoni. Malezi ya chipsi mayai na uswahili mwingi ndo vinawatafuna.
 
Kilimanjaro was Kenya's but Queen Victoria gave it to tz...kusaidia maskini...😀😀😀charity work
Just like the Kaiser gave you Mombasa.....charity work
Mngekuwa mnatulipa ushuru saiv wa kutumia bandari yetu.
Thank your stars....you cock-sucking white-wannabes!
 
Just like the Kaiser gave you Mombasa.....charity work
Mngekuwa mnatulipa ushuru saiv wa kutumia bandari yetu.
Thank your stars....you cock-sucking white-wannabes!
WEe could have built another port in malindi or lamu...
 
Back
Top Bottom