Kenya itahitaji miaka 336 kuwapima Wakenya millioni 50+; kwanini wapigane na adui wasiyemuweza?

Kenya itahitaji miaka 336 kuwapima Wakenya millioni 50+; kwanini wapigane na adui wasiyemuweza?

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kenya yenye watu millioni 50+ inayopima wastani wa watu 1000+ kila almaarufu kama mass testing itahitaji siku 50000 sawa na miaka 336 kuwapima wakenya waliopo leo.

Mass testing ya nini kwenye nchi yenye madeni makubwa kama Tanzania japo yenyewe inatuzidi ukubwa wa deni? Kwani Kenya na nchi nyingi maskini zisifanye kitu kinachowezekanika kuliko ngonjera zisizo na mantiki kwenye nchi masikini kama zetu?

Viongozi wa afya hawateeza kumwambia ukweli Uhuru watatoa vitisho hali hatari ili tu kuuaminisha umma kuwa hali ni mbaya na kuwaridhisha wafadhili ili waendelee kutoa pesa hii inamaanisha kuwa Kenya is never an independent state it is critical neocolonised state.
 
Kwa hiyo point yako unataka waachane na kina Jabir Oil na Mariam papai siyo?
 
Nipo naangalia National Geographic channel ajali ya ndege ya KQ flight No. 507, iliyotokea Douala Cameroon. Yule pilot alikuwa nyoko. Anamtukana first officer matusi ya nguoni kabla ya ajali, halafu lilivyokuwa taahira linaenda kuangusha ndege Boeing 737na kuua watu zaidi 100.
 
Duniani kuna option mbili..... moja kuamini sayansi na mbili kuamini nguvu za giza ambao hata hujawahi kuziona.

Kwa hiyo unawashauri watanzania wanywe malimao na ile juice ya Madagascar pia wapige nyungu kweli kweli !!

I will go for science my friend.
Nenda tu hakuna aliekushika miguu.

Watu wanamtegemea Mungu, wewe unazungumzia habari za uchawi.
 
Kwa hiyo hiki ndio kilichofanhywa na Magufuli halafu anadanganya watu hakuna Corona sio?
 
Kenya yenye watu millioni 50+ inayopima wastani wa watu 1000+ kila almaarufu kama mass testing itahitaji siku 50000 sawa na miaka 336 kuwapima wakenya waliopo Leo!

Mass testing ya nini kwenye nchi yenye madeni makubwa kama Tanzania japo yenyewe inatuzidi ukubwa wa deni? Kwani Kenya na nchi nyingi maskini zisifanye kitu kinachowezekanika kuliko ngonjera zisizo na mantiki kwenye nchi masikini kama zetu?

Viongozi wa afya hawateeza kumwambia ukweli Uhuru watatoa vitisho hali hatari ili tu kuuaminisha umma kuwa hali ni mbaya na kuwaridhisha wafadhili ili waendelee kutoa pesa hii inamaanisha kuwa Kenya is never an independent state it is critical neocolonised state
Haya sasa wakimbia umande hao hapo! 50000/336=

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya soon wataiga Rais Magufuli.
siku watakapo ona mashemeji wa tz simba na yanga zinapambana alafu uwanjani ni nyomi la kufa mtu.

Raia wa kenya watafungua miji kwa nguvu kama Malawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom