batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,346
Namba moja ni Mungu na ndo njia pekee Tz tumeamua kwenda nayo.Duniani kuna option mbili. Moja kuamini sayansi na mbili kuamini nguvu za giza ambao hata hujawahi kuziona.
Kwa hiyo unawashauri watanzania wanywe malimao na ile juice ya Madagascar pia wapige nyungu kweli kweli.
I will go for science my friend.
Karibu jumapili kwenye sherehe za hitimisho ya maombi dhidi ya koronyaa.