Kenya jaribuni kufanya hivi kama hamja-run banana

Kenya jaribuni kufanya hivi kama hamja-run banana

Tremendous work done by my government, and when you depend on yourself completely, their is great chance to live as per your own way. Freedom of the highest order.
Upuuzi tu. Mbona sisi tumekuwa tukijilipia uchaguzi kwa miaka nyingi ila hatupigi unyende kama nyie? Wacheni ushamba bwana.
 
Wacha sarakasi. Sisi tumekuwa tukijilipia uchaguzi kutoka zamani. Nyie mumeingia middle income mwezi uliopita sasa mnataka kushindana na sisi? Heshimu Wakubwa wake wewe.
Upuuzi tu. Mbona sisi tumekuwa tukijilipia uchaguzi kwa miaka nyingi ila hatupigi unyende kama nyie? Wacheni ushamba bwana.
Who do you think you are lying here? 🤥🤔

Chakula mle kwa msaada
Kuoga muoge kwa msaada
Budget mpate kwa msaada
Uchaguzi ndio mjitegemee

Laughable 🚮🚮🚮

Screenshot_20200818-171401~2.png
 
And by this way we can block or allow any of the so called 'election observers' at our own wish in our nation.
Because yours is a communist one party dictatorship,Je mtaelewa demokrasia ni nini?
 
Tony254 😆😆
Umetoka mbio sana baada ya kugundua uchaguzi wa kenya ujao mtaomba msaada kwa 90%

Kenya bila huruma ya mzungu haiendi kabisa yaani bora muendelee kuwaabudu tu sababu ndio wanawafanya muonekane japo still you are a failed state 🚮🚮🚮
 
Upuuzi tu. Mbona sisi tumekuwa tukijilipia uchaguzi kwa miaka nyingi ila hatupigi unyende kama nyie? Wacheni ushamba bwana.
Kama hata kutibu corona mnaomba msaada ndo mtaweza jilipia uchaguzi. Nyie bado omba omba tu na vibaraka wazungu.
Naona sasa wanaanza kuwatumia kutuhujumu hamtaweza
 
Back
Top Bottom