Kenya: Kakamega County rising

He goat, Picture no 3 is Arusha, Nenda kadanganye Midanganyika wenzako
Jealousy has turned them into compulsive liars willing to say and do anything in a futile attempt at fighting Kenya. Also from the picture apparently arusha is composed of one low budget hotel and hundreds of rickety shacks then they call it a city! These people are insufferable.
 
Yaani kumbe mkiambiwa ukweli mnadhani ni wivu mnaonewa 😂😂😂
Yaani niache kuonea vitu vya maana wivu nije kuonea wivu mji uliojaa funza,
Hayo yatakuwa matumizi mabaya ya wivu 😂😂😂
 
Yaani kumbe mkiambiwa ukweli mnadhani ni wivu mnaonewa 😂😂😂
Yaani niache kuonea vitu vya maana wivu nije kuonea wivu mji uliojaa funza,
Hayo yatakuwa matumizi mabaya ya wivu 😂😂😂
spoken like a jealous man
 
Mkuu unafananisha Singinda na Upumbavu? Kakakumega kumejaa ufukara, Njaa na funza.
Coming from a jealous Albino eating Danganyikan who walks around bare feet and with only e torn underwear.
 
He goat, Picture no 3 is Arusha, Nenda kadanganye Midanganyika wenzako
She got, whatever but Kakamega is just like other town in tanzania which are not at the level of Municipal as Kakamega and that is why I gave you an example of small town Singida. So your kakamega Municipal can not be compared with Moshi Municipal, Iringa, Shinyanga, Morogoro, Rukwa Kahama, Shinyanga, Bukoba,
 
Coming from a jealous Albino eating Danganyikan who walks around bare feet and with only e torn underwear.
What is the difference from eating albino and eating your normal human being? Kakamega is the rural poor ridden area where people are living under the line of umaskini wa kufa mtu
 
Tupia cbd ya hvyo vijiji ulivyovitaja hapo[emoji115][emoji115]
 
Nilienda huko last month kikazi, maze huyo governor anafanya kazi... Kwenye mji ukitembea barabarani, pavement from corner ya nyumba hadi upande mwengine , yani hakuna nafasi ya kuona mchanga, hii inafanya hata kukinyesha hautawai kuona maji mekundu au maji 'machafu' yanatirirka sakafuni,.. Yani nilifurahia sana , ukifika huko utagundua tu kwamba serekali ya county inapenda wanacounty wake manake wamejengewa kila kitu ili kurahisisha maisha yao , Sio kama county zengine kazi kula pesa alafu wanaweka mabango kila mahali na mapicha yao ili tusisahau kama 'wako kazini'
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa umeleta nn?
Iringa utumbo,
Moshi naona umeniletea mjengo mmoja,
Morogoro pia umeleta ka ka ghorofa...
Hv umelielewa swali langu kweli, maskini tanzania...

Bukoba[emoji24][emoji24][emoji24]
Mind u Morogoro ina vyuo na institutes za Kumwaga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…