Kenya: Kanisa la Mchungaji Ezekiel Odero lafungwa, zaidi ya watu 100 waondolewa

Kenya: Kanisa la Mchungaji Ezekiel Odero lafungwa, zaidi ya watu 100 waondolewa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Zaidi ya watu 100 wamehamishwa kutoka kanisa la Mchungaji Ezekiel Odero, la New Life Prayer Centre and Church, baada ya Mchungaji huyo anayedaiwa kuwa Mshirika wa Paul Mackenzie Nthenge kukamatwa mapema Aprili 27, 2023.

Paul Mackezie anatuhumiwa kwa mauaji ya Waumini wake baada ya Miili 98 kufukuliwa katika eneo la Shakahola lilipo Kanisa lake la Good News International Church, ambapo takribani watu 320 wameripotiwa kupotea.

Kwa sasa Mchungaji Ezekiel anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha kikanda cha Mombasa kwa Mahojiano zaidi.


////////////////


Over 100 people were evacuated from controversial Pastor Ezekiel Odero’s New Life Prayer Centre and Church at Mavueni, Kilifi County, during his arrest on Thursday, Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki said.

Odero was arrested in the morning hours, just a day after he was questioned about alleged links to Paul Mackenzie Nthenge, the leader of a starvation cult that has led to the deaths of at least 98 people in Shakahola, Kilifi County.

CS kindiki through a tweet in the afternoon said the televangelist was being processed to face criminal charges related to the mass killing of his followers.

”The said Church has been shut down. The over 100 people who were holed up at the premises have been evacuated and will be required to record statements,” he wrote.

Odero’s arrest came amid allegations of deaths that have been occurring at his premises and reported to various morgues or institutions in the region.

Citizen Digital understands that the preacher is currently at the regional police headquarters in Mombasa where he is being interrogated.

Detectives on Wednesday also grilled the management of a mortuary located near the preacher’s church.
As of Wednesday evening, ninety-eight people had been confirmed dead in the incident where Nthenge, who leads the Good News International Church, is said to have instructed members to starve themselves in order to "meet Jesus".

Detectives and pathologists have been combing through the Shakahola Forest since Friday for more shallow graves and any of Nthenge's followers who might be hiding.

Over 360 people have been reported missing.
 
Democracy ikizidi inakuwa upumbavu, Paka ajengewe sanamu nchini Kenya kuwq kumbukumbu kutokomeza Manabii uchwara nchini Rwanda.
 
Tatizo mtu yoyote anaweza kuanzisha kanisa. Jambazi, mzinzi, mshirikina, mwizi, kila mtu.

Utapata watu wengi tu chukua Biblia yako ongea vifungu vya Biblia, imba Changisha sadaka dhaka, michango,uza maji, mafuta, vitambaa, chumvi za uzima.

Wapange watu useme wamefufuka, wameponywa. Unatoboa haraka sana kuwa bilionea. Halafu hulipi Kodi wala TRA hawakusumbui na biashara zako.

Nashangàa kwanini mtu anaamua kuwa jambazi kutumia silaha wakati anaweza kufungua kanisa au kuwa mwanasiasa au chawa. Ajira rahisi hizo.
 
Zaidi ya watu 100 wamehamishwa kutoka kanisa la Mchungaji Ezekiel Odero, la New Life Prayer Centre and Church, baada ya Mchungaji huyo anayedaiwa kuwa Mshirika wa Paul Mackenzie Nthenge kukamatwa mapema Aprili 27, 2023.

Paul Mackezie anatuhumiwa kwa mauaji ya Waumini wake baada ya Miili 98 kufukuliwa katika eneo la Shakahola lilipo Kanisa lake la Good News International Church, ambapo takribani watu 320 wameripotiwa kupotea.

Kwa sasa Mchungaji Ezekiel anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha kikanda cha Mombasa kwa Mahojiano zaidi.


////////////////


Over 100 people were evacuated from controversial Pastor Ezekiel Odero’s New Life Prayer Centre and Church at Mavueni, Kilifi County, during his arrest on Thursday, Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki said.

Odero was arrested in the morning hours, just a day after he was questioned about alleged links to Paul Mackenzie Nthenge, the leader of a starvation cult that has led to the deaths of at least 98 people in Shakahola, Kilifi County.

CS kindiki through a tweet in the afternoon said the televangelist was being processed to face criminal charges related to the mass killing of his followers.

”The said Church has been shut down. The over 100 people who were holed up at the premises have been evacuated and will be required to record statements,” he wrote.

Odero’s arrest came amid allegations of deaths that have been occurring at his premises and reported to various morgues or institutions in the region.

Citizen Digital understands that the preacher is currently at the regional police headquarters in Mombasa where he is being interrogated.

Detectives on Wednesday also grilled the management of a mortuary located near the preacher’s church.
As of Wednesday evening, ninety-eight people had been confirmed dead in the incident where Nthenge, who leads the Good News International Church, is said to have instructed members to starve themselves in order to "meet Jesus".

Detectives and pathologists have been combing through the Shakahola Forest since Friday for more shallow graves and any of Nthenge's followers who might be hiding.

Over 360 people have been reported missing.
Hapa mifumo ya usalama haikufanya kazi yake
 
Back
Top Bottom