KENYA - KANISA LABADILISHWA KUWA MSIKITI BAADA YA WAFUASI WA KIKRISTO KUSILIMU

KENYA - KANISA LABADILISHWA KUWA MSIKITI BAADA YA WAFUASI WA KIKRISTO KUSILIMU

Sasa tujiulize huyo barinaba alikuwa na faida gn kwenye Ukristo ambapo atapekeka faida hiyo kwa Waislamu

Biblia inasema "Nayajua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hai, nawe umekufa." UFUNUO 3:1
 
Hakuna mkristo mwenye anajielewa aliyewahi kuslim, na wote walio wahi kuslim hakuna alieendelea kuwa mtu wa maana. Hakuna maisha mazuri zaidi kuliko kumfanya Yesu Kristo kuwa kila kitu kwako.
Kweli upo Gizani ,wewe na Malcolm x nani mwenye akili kubwa?? Wewe na Muhammad Ali nani mwenye akili kubwa ? Huko uliko ni jahannam Kama hutaki acha ...
 
Kweli upo Gizani ,wewe na Malcolm x nani mwenye akili kubwa?? Wewe na Muhammad Ali nani mwenye akili kubwa ? Huko uliko ni jahannam Kama hutaki acha ...
Unamwambia mtu ety yupo jehanamu, Kwahy hapo hujamu-attack.? Nyie Waislamu ni wapumbavu mno
 
Wamemuona hana maana ila ndani ya nafsi yake anafurahi kwa ajili ya watu wawili ila kwa sababu siyo wafia dini anajifanya kuponda ooh tokeni gizani, sasa sijui mwarabu ana nuru gani ya kunipa mimi?.

Namuuliza FaizaFoxy kabla yabkuja waarabu babu zako walikuwa na dini gani, atajibu #{¢^¢¶%✓✓00%.
Walitupa ustaarabu.
 
Sikuanzisha uzi mwingine nilikua nawaonyesha picha wasioweza kuangalia hio video maana sijaliona kanisa hapo kideoni, na waumini wenyewe njaa tupu na uongo mwingi wa kuigiza
Nilipita jukwaa la Kenya asubuhi sana nikakuta hii mada, ikiwa na views 136, haina likes wala komenti.

Huyu aliyefuatia kaanzisha mada same like ikaungwa na ile ya adhuhuri but nothing again.

Ngoja tuone.
 
Sikuanzisha uzi mwingine nilikua nawaonyesha picha wasioweza kuangalia hio video maana sijaliona kanisa hapo kideoni, na waumini wenyewe njaa tupu na uongo mwingi wa kuigiza
Sasa dadako anavimba kichwa ooh kanisa limesilimu na kugeuzwa msikiti 😅, yaani ni anadhani waarabu wana nuru kuliko mimi.
 
Sikuanzisha uzi mwingine nilikua nawaonyesha picha wasioweza kuangalia hio video maana sijaliona kanisa hapo kideoni, na waumini wenyewe njaa tupu na uongo mwingi wa kuigiza
Sasa dadako anavimba kichwa ooh kanisa limesilimu na kugeuzwa msikiti 😅, yaani ni anadhani waarabu wana nuru kuliko mimi.
Mnataka muone jengo? basi mtasubiri sana kwani hapo tayari palipokuwa panatumika kama kanisa ndiyo tayari pako chini ya Waislam.

Subirini Waislam wajenge msikiti hapo chap chap tutawaletea picha.

Wengine hata hamuelewi maana ya neno Kanisa Kikristo.

Inatakiwa mfurahi, wametoka kizani wameingia kwenye Nuru.
 
Back
Top Bottom