Sasa tujiulize huyo barinaba alikuwa na faida gn kwenye Ukristo ambapo atapekeka faida hiyo kwa Waislamu
Kweli upo Gizani ,wewe na Malcolm x nani mwenye akili kubwa?? Wewe na Muhammad Ali nani mwenye akili kubwa ? Huko uliko ni jahannam Kama hutaki acha ...Hakuna mkristo mwenye anajielewa aliyewahi kuslim, na wote walio wahi kuslim hakuna alieendelea kuwa mtu wa maana. Hakuna maisha mazuri zaidi kuliko kumfanya Yesu Kristo kuwa kila kitu kwako.
Una utoto mwingi Sana bwana mdogo,changia Hoja acha kuattack personality ya mtu.Huyu bibi aliolewa akiwa na miaka 9 hvy hawezi kuelewa mambo hayo mana amefungwa minyororo
Mtu akisema Ukristo ni giza hapo anamaanisha nini.? Sio kuaatack watu wengine.?Una utoto mwingi Sana bwana mdogo,changia Hoja acha kuattack personality ya mtu.
Unamwambia mtu ety yupo jehanamu, Kwahy hapo hujamu-attack.? Nyie Waislamu ni wapumbavu mnoKweli upo Gizani ,wewe na Malcolm x nani mwenye akili kubwa?? Wewe na Muhammad Ali nani mwenye akili kubwa ? Huko uliko ni jahannam Kama hutaki acha ...
Hivi umepitia alichokomenti hapo juu huyo pastor Uchwara ..Unamwambia mtu ety yupo jehanamu, Kwahy hapo hujamu-attack.? Nyie Waislamu ni wapumbavu mno
Kabla hujanipuuza nenda madrasa ukajifunze namna nzuri ya kujitoa muhangaHivi umepitia alichokomenti hapo juu huyo pastor Uchwara ..
Nakupuuza
Walitupa ustaarabu.Wamemuona hana maana ila ndani ya nafsi yake anafurahi kwa ajili ya watu wawili ila kwa sababu siyo wafia dini anajifanya kuponda ooh tokeni gizani, sasa sijui mwarabu ana nuru gani ya kunipa mimi?.
Namuuliza FaizaFoxy kabla yabkuja waarabu babu zako walikuwa na dini gani, atajibu #{¢^¢¶%✓✓00%.
Ant majnunSisemi mengi video clip ina yote kwa Kiswahili...
Kwahy huko youtube hakuna video za Waislamu kubadili dini na kuwa Wakristo au ni umeamua kuwa upande mmoja.?
Nilipita jukwaa la Kenya asubuhi sana nikakuta hii mada, ikiwa na views 136, haina likes wala komenti.
Huyu aliyefuatia kaanzisha mada same like ikaungwa na ile ya adhuhuri but nothing again.
Ngoja tuone.
Sasa dadako anavimba kichwa ooh kanisa limesilimu na kugeuzwa msikiti 😅, yaani ni anadhani waarabu wana nuru kuliko mimi.Sikuanzisha uzi mwingine nilikua nawaonyesha picha wasioweza kuangalia hio video maana sijaliona kanisa hapo kideoni, na waumini wenyewe njaa tupu na uongo mwingi wa kuigiza
Sikuanzisha uzi mwingine nilikua nawaonyesha picha wasioweza kuangalia hio video maana sijaliona kanisa hapo kideoni, na waumini wenyewe njaa tupu na uongo mwingi wa kuigiza
Mnataka muone jengo? basi mtasubiri sana kwani hapo tayari palipokuwa panatumika kama kanisa ndiyo tayari pako chini ya Waislam.Sasa dadako anavimba kichwa ooh kanisa limesilimu na kugeuzwa msikiti 😅, yaani ni anadhani waarabu wana nuru kuliko mimi.