Wacha wapigane maana upinzani wa Afrika ni ushetani tuKesho ni jumatatu nyingine:
View attachment 2573711
Hili sasa ni lenye kuhitaji akili kubwa:
View attachment 2573699
Wenye busara wapo:
View attachment 2573717
Lakini siyo huyu bwana:
View attachment 2573712
Kwetu wapigania haki au Uhuru kwa jina la ukombozi elimi haina mwisho.
Inafahamika elimu kama hii kutokuwa na maana kwa walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo.
Makundi matatu haya hayana mchango wowote kwa taifa hili.
Muhozi kasema atapeleka jeshi la Uganda kumtetea Uhuru!Wacha wapigane maana upinzani wa Afrika ni ushetani tu
USSR
Wacha wapigane maana upinzani wa Afrika ni ushetani tu
USSR
Yule kichaa wa Twita naye unamuona ana akiliMuhozi kasema atapeleka jeshi la Uganda kumtetea Uhuru!
Gachagua kafanana na Lisu kimisimamo!Busara za Museveni, Mudavadi na wa namna hiyo zingalipo.
Watawala mashetani aina ya Gachagua nao wapo.
Wacha tuchukue masomo. Wasiofaa hata sisi hawatufai.
Wewe unamuona kichaa lakini Mu7 anamwaminia sana!Yule kichaa wa Twita naye unamuona ana akili
USSR
Muhozi kasema atapeleka jeshi la Uganda kumtetea Uhuru!
Kwani odinga anataka nini zaidi ya asali tu ,humo kwenye maisha magumu ni sanaa tu lengo ni kujiweka karibu na watawala kwa kupitia damu za wajinga ,baada ya hand shake maisha yalikuwajeBusara za Museveni, Mudavadi na wa namna hiyo zingalipo.
Watawala mashetani aina ya Gachagua nao wapo.
Wacha tuchukue masomo. Wasiofaa hata sisi hawatufai.
Kwa kuwa ni mwanae wa kumzaa kabisa so hakuna hoja hapoWewe unamuona kichaa lakini Mu7 anamwaminia sana!
Ruto na Gachagua watakaa madarakani hqdi 2027 baada ya hapo wanachaguliwa tena na .waka 2032 Gachagua anachukua urais wakati huo Raila atakuwa kisha kufa.Busara za Museveni, Mudavadi na wa namna hiyo zingalipo.
Watawala mashetani aina ya Gachagua nao wapo.
Wacha tuchukue masomo. Wasiofaa hata sisi hawatufai.
LIssu hajawahi kushika madaraka kumfananisha na huyo kiumbe. Ungesema wale wa awamu ya giza!Gachagua kafanana na Lisu kimisimamo!
Kwani odinga anataka nini zaidi ya asali tu ,humo kwenye maisha magumu ni sanaa tu lengo ni kujiweka karibu na watawala kwa kupitia damu za wajinga ,baada ya hand shake maisha yalikuwaje
USSR
Kwani odinga anataka nini zaidi ya asali tu ,humo kwenye maisha magumu ni sanaa tu lengo ni kujiweka karibu na watawala kwa kupitia damu za wajinga ,baada ya hand shake maisha yalikuwaje
USSR
Ruto na Gachagua watakaa madarakani hqdi 2027 baada ya hapo wanachaguliwa tena na .waka 2032 Gachagua anachukua urais wakati huo Raila atakuwa kisha kufa.
ipo siku atafanya maamuzi mtabaki midomo wazi ogopa wenye mamlakaYule kichaa wa Twita naye unamuona ana akili
USSR
Unawezaje kusema mwaka 2032 Raila atakuwa keshakufa. Hawo unaodhani wataendelea kuishi usishangae wakamwacha Raila.Ruto na Gachagua watakaa madarakani hqdi 2027 baada ya hapo wanachaguliwa tena na .waka 2032 Gachagua anachukua urais wakati huo Raila atakuwa kisha kufa.
Unawezaje kusema mwaka 2032 Raila atakuwa keshakufa. Hawo unaodhani wataendelea kuishi usishangae wakamwacha Raila.
Gachagua hana caliber ya uongozi,2032 Martha anabeba hicho kitiRuto na Gachagua watakaa madarakani hqdi 2027 baada ya hapo wanachaguliwa tena na .waka 2032 Gachagua anachukua urais wakati huo Raila atakuwa kisha kufa.