- Thread starter
- #21
Upinzani umekosea approach kulikuwa hamna haja ya Mara 2 kwa wiki,ilitakiwa wakiwashe non stop
Kupima maji kwanza yaweza kuwa muhimu mtu usijejikuta peke yako:
"Kwetu wapigania haki au uhuru kwa jina la ukombozi elimu haina mwisho."