Upinzani umekosea approach kulikuwa hamna haja ya Mara 2 kwa wiki,ilitakiwa wakiwashe non stop
Majirani wana heka heka sana...
Duh.Ruto na Gachagua watakaa madarakani hqdi 2027 baada ya hapo wanachaguliwa tena na .waka 2032 Gachagua anachukua urais wakati huo Raila atakuwa kisha kufa.
Huyo ndio hakuna kitu kabisaGachagua hana caliber ya uongozi,2032 Martha anabeba hicho kiti
Muhozi kasema atapeleka jeshi la Uganda kumtetea Uhuru!
Japokuwa yeyote anaweza kufa lakini inategemewa zaidi mwenye umri mkubwa kuliko mwenzake ndiye atangulie kufa.Unawezaje kusema mwaka 2032 Raila atakuwa keshakufa. Hawo unaodhani wataendelea kuishi usishangae wakamwacha Raila.
Venezuela wameangamiza hii Kenya aki....Kesho ni jumatatu nyingine:
View attachment 2573711
Hili sasa ni lenye kuhitaji akili kubwa:
View attachment 2573699
Wenye busara wapo:
View attachment 2573717
Lakini siyo huyu bwana:
View attachment 2573712
Kwetu wapigania haki au Uhuru kwa jina la ukombozi elimu haina mwisho.
Inafahamika elimu kama hii kutokuwa na maana kwa walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo.
Makundi matatu haya hayana mchango wowote kwa taifa hili.
Subiri moto wa kesho....Kupima maji kwanza yaweza kuwa muhimu mtu usijejikuta peke yako:
"Kwetu wapigania haki au uhuru kwa jina la ukombozi elimu haina mwisho."
Subiri moto wa kesho....