Kenya kids survive on dog milk

Kenya kids survive on dog milk

Naona una utu pia. Hivyo sivyo nilivyokudhania hapo awali. Nakubaliana nawe, kusaidia wasiojiweza ni jukumu letu sote. Ni Kazi muhimu.
below poverty line kenya is 46%


below povert line tanzania 22%

ukitaka special official link nione
 
Ivi awa ndo wanaosema watanzania wanaenda kuombaomba kwao. ni za kweli hizi habari au ni wakenya wezao ili kutoa aibu wanawaita watz
wale ni wakenya wenzio wanawasingizia watanzania ili dunia ijue hvo kukwepa aibu maana waliingizwa kwenye MLDC kiujanja ujanja sasa wanaeza rudishwa LDC
 
Geza sijui leo unabahati gani kupatikana sasa manake uwa kwa kawaida unatumia office internet. Ebu tazama uko peke yako sasa manake bongo nzima wako nyumbani with no free internet to use vifurushi vimewaishia. Wakenya watatu tu leo tutamchemshea nchi nzima Asubui Mwamkiee mafuriko.
Acha porojo umekunywa Mziwa ya Mbwa?? Usiku sasa hivi umeshaweka maziwa tumboni??
 
vipi wewe umekula leo? 4.2 million urban dwellers in tanzania suffer hunger.
mass graves lazima tuzifichue.
6/13 kenya alone😀😀😀😀
7BF49AE9-E888-47EC-AA67-75762EDC5035.jpeg
 
Geza sijui leo unabahati gani kupatikana sasa manake uwa kwa kawaida unatumia office internet. Ebu tazama uko peke yako sasa manake bongo nzima wako nyumbani with no free internet to use vifurushi vimewaishia. Wakenya watatu tu leo tutamchemshea nchi nzima Asubui Mwamkiee mafuriko.
iko kunywa maziwa ya mbwa wewe??😀😀😀
au iko kunywa maziwa ya kunguni
 
mimi si deal na story za vijiweni! ukitaka tulinganishe maisha ya mkenya wa kawaida na mtanzania wa kawaida useme. ila uwaeleze mods kuwa wawache sindano ifanye kazi sio kurusha ukweli kuhusu tz mvunguni.

4.2 million urban dwellers in tz suffer from hunger, sijui kama umetia kitu ndani leo. ikubali hali yako usaidike.
 
mimi si deal na story za vijiweni! ukitaka tulinganishe maisha ya mkenya wa kawaida na mtanzania wa kawaida useme. ila uwaeleze mods kuwa wawache sindano ifanye kazi sio kurusha ukweli kuhusu tz mvunguni.

4.2 million urban dwellers in tz suffer from hunger, sijui kama umetia kitu ndani leo. ikubali hali yako usaidike.
uhahaha hukuipenda hio😀😀😀 wacha nikupe nyingine na hii usiipende sasa😛😛😛
E80E97DF-D366-4E80-A01A-3A8E4878DBA6.jpeg
 
mimi si deal na story za vijiweni! ukitaka tulinganishe maisha ya mkenya wa kawaida na mtanzania wa kawaida useme. ila uwaeleze mods kuwa wawache sindano ifanye kazi sio kurusha ukweli kuhusu tz mvunguni.

4.2 million urban dwellers in tz suffer from hunger, sijui kama umetia kitu ndani leo. ikubali hali yako usaidike.
Maisha ya mtanzania wa kawaida tukisema itatutoa machozi mengi. ....Wakina geza na wenzake sasa ivi wanaelekea kula chakula chao cha jioni kama kawa.. . Kwato za mbuzi ngombe etc na ndizi. .... .No wonder wanamezea maziwa ya umbwa mate
 
Ndio na wewe je umekunywa supu ya kongoro na firigisi kama kawaida kila siku toka januari tarehe 1?
sasa hvi munakula mpaka mizoga hehhee ila njaa sio kitu kizuri aisee😀😀😀😀 uhuru atawamaliza nyie
5CD1A022-6C35-4E6F-B2AB-561D8213E410.jpeg
 
Maisha ya mtanzania wa kawaida tukisema itatutoa machozi mengi. ....Wakina geza na wenzake sasa ivi wanaelekea kula chakula chao cha jioni kama kawa.. . Kwato za mbuzi ngombe etc na ndizi. .... .No wonder wanamezea maziwa ya umbwa mate
sio ya kunywa maziwa ya mbwa na kula mizoga hatujafkia huko aisee😀😀😀😀😀😀
 
Maisha ya mtanzania wa kawaida tukisema itatutoa machozi mengi. ....Wakina geza na wenzake sasa ivi wanaelekea kula chakula chao cha jioni kama kawa.. . Kwato za mbuzi ngombe etc na ndizi. .... .No wonder wanamezea maziwa ya umbwa mate

ni wakuonewa huruma hawa. yaani Dar es aslum mtu anataka kulinganisha na Nairobi. lazima ni wazimu huyu.
 
Geza sijui leo unabahati gani kupatikana sasa manake uwa kwa kawaida unatumia office internet. Ebu tazama uko peke yako sasa manake bongo nzima wako nyumbani with no free internet to use vifurushi vimewaishia. Wakenya watatu tu leo tutamchemshea nchi nzima Asubui Mwamkiee mafuriko.
How are you our brothers and sisters from failed state, wazee wa njaa, mnategemea maziwa ya mbwa, ndiyo sababu mna roho mbaya kama mbwa.
Kenya ranked as 'failed state'
 
poa sana lakini unakubali umekamata kwato ya punda/ngombe au mbuzi na ndizi?? Kubali yaishe
sijawah kusikia mtanzania anakula mizoga au maziwa ya mbwa heheh kwa hilo nimewapa salute mumefika level ya mwisho kabisa kwenye umaskini😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom