Mashuhuda wa tukio pamoja na muuajiView attachment 2060929View attachment 2060931
Hii imetokea Dar au Kenya?Chanzo cha mauaji hakijasemwa.. Lakini kijana kamuua baba yake na kumtia kwenye sandarus na kwenda kumhifadhi chooni.. Tayari ameshatiwa nguvuniView attachment 2060926View attachment 2060927
Hii clip ni ushahidi tosha mkuu...Kwa mujibu wa mtoa taarifa ni Dar Temeke ngoja tuone itathibitika soon
Bondeni ni Mombasa,ndio kuna msikiti unaitwa Masjid Nour.Kwa mujibu wa mtoa taarifa ni Dar Temeke ngoja tuone itathibitika soon
Confusion, mara mombasa mara Temeke...!!!Kwa mujibu wa mtoa taarifa ni Dar Temeke ngoja tuone itathibitika soon