Kenya kinara wa kukopa toka China

kenya ni number 5 kwa list na ndiyo tu umeona???
hata nilidhani sisi ndiyo wa kwanza
 
kenya ni number 5 kwa list na ndiyo tu umeona???
hata nilidhani sisi ndiyo wa kwanza
Kinara ndani ya EAC ww unakwama wapi ? Think global act local. Ila kukopa sio keai hata state wanamikopo ..swala ni je mkopo unaufanyia nn ? Iv ile mliyo muomba msaada mjengewe train kwenda JKIA na rais wa france pia ni mkopo au msaada ule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…