Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Mkuu linapokuja swala la haki hakuna mawazo au mlengo wako na wa mwingine. Kupiga wanawake ni kinyume cha haki na sheria sasa huwezi kutwambia eti ni mtazamo wako binafsi tukakielewa, hayo mawazo yako yamepitwa na wakati.
Ni sawa na mtu anaeshabikia ubaguzi halafu atuambie ni mtazamo wake tu, NO!
Acheni mawazo ya kikoloni.
Sawa mkuu tusiufanye mjadala kuwa mrefu live in your world and I live in my world.
Ubaguzi na kupiga mwanamke ni vitu tofauti, and mark my words again 'inategemea na kosa'.
Shukrani zikuendee kwako usiye na mawazo ya kikoloni.
.....kawaida sana akizingua!...claim yako eti 'mwanaume alokamilika' HAWEZI kumpiga mwanamke HATA SIKU MOJA ni ya kiboya saaaaaana!Ongea unataka kusema nini, usiandike sentensi nusu nusu. We utajisikiaje dingi yako akimchapa makofi mamaako?
.....kawaida sana akizingua!...claim yako eti 'mwanaume alokamilika' HAWEZI kumpiga mwanamke HATA SIKU MOJA ni ya kiboya saaaaaana!
....teh hee hee hee...kumbe unaandika 'uharo' ili uonekane gentleman wa kishua?....Watu wanaowapiga wanawake kama wewe ndio maboya. A gentleman knows how to deal with a lady. How can you protect a woman if you are physically and emitionally hurting her. Kama unafikiri babaako kumtia makofi mamaako ni sawa basi unahitaji therapy, na hayo ndio madhara ya kukulia kwenye vibanda vya gongo. Familia zimekosa good manners kabisa. SAD.
Kama unafikiri uko sahihi kupiga wanawake basi akili zako hazikutoshi
and you belong in prison.
....teh hee hee hee...kumbe unaandika 'uharo' ili uonekane gentleman wa kishua?....
...ukiact kama punda utakuwa treated kama punda!.period!...haijalishi wewe ni lady ama b!tch!
...AKILI haina jinsi/jinsia!
....wanawake wanaenda jela seuze kula makofi!?
..acha ukuzi 'gentleman uchwara!'
....teh hee hee...'uhalifu' ni label tu!.,ila kimsingi ni makosa! na jela ni adhabu kama ilivyo makofi;kutegemea na uzito wa kosa na 'mamlaka' husika!Wanakwenda jela kwa kufanya uhalifu, mnawapiga kwasababu they aren't strong enough to defend themselves. I'm a 'gentleman uchwara' but I will never lay my hands on a woman, it's so disrespectful! I'm glad the authorities are dealing with losers like you who think you have the rights to compare a woman with a punda. #SMDH
....teh hee hee...'uhalifu' ni label tu!.,ila kimsingi ni makosa! na jela ni adhabu kama ilivyo makofi;kutegemea na uzito wa kosa na 'mamlaka' husika!
...tena skia,mwanamke awaye yeyote akimtusi bimkubwa;SIULIZI wala hali makofi tu,
..NAKATA,NAFUNUA!!
...we 'gentleman sonso' wamwagie shombo la samaki waende liwa na mapaka mbele!
....nahitimisha kwa kurudia nilichosema awali kabisa:Ni hivi, mimi 'gentleman sonso' kama naona siko kwenye comfotable situation na mwanamke namuacha aende mbele, ni maamuzi sahihi kuliko wewe unaojua kupima uzito wa kosa sijui mamlaka husika. Huulizi eti unakata unafunua? Mwisho wa siku we ndio utaonekana Clown mbele ya jaji. Again, I will never lay my hands on a woman
Wanaume waliolelewa vibaya hawa kifumo dume ndo wana akili za unyanyasi wa kijinsia sasa kumpiga mwanamke si upumbavvu uzuri sikuhizi kuna sheria watanyooka tuMkuu linapokuja swala la haki hakuna mawazo au mlengo wako na wa mwingine. Kupiga wanawake ni kinyume cha haki na sheria sasa huwezi kutwambia eti ni mtazamo wako binafsi tukakielewa, hayo mawazo yako yamepitwa na wakati. Ni sawa na mtu anaeshabikia ubaguzi halafu atuambie ni mtazamo wake tu, NO!
Acheni kupiga wanawake. Hakuna kitu chochote kinachofanya mwanaume awe juu zaidi ya mwanamke kwenye jamii. Acheni mawazo ya kikoloni.