KENYA: Koffi Olomide ampiga mateke mnenguaji wa kike baada ya kutua jijini Nairobi

KENYA: Koffi Olomide ampiga mateke mnenguaji wa kike baada ya kutua jijini Nairobi

From standard digital entertainment facebook page:

So apparently Koffi Olomide's current wife happened to be his dancer before getting hitched. So after getting married Koffi made her the Choreographer for the ladies in the band Quartier Latin (Koffi's band). So kuna vile ofcourse some chics believe they were better placed to be choreographers than Cindy, Koffi's wife. Now before travelling there were some issues when Cindy selected the dancers coming to Nairobi. Am informed Quartier Latin has a very big number of performers and when going for a trip to meet business logic the numbers are reduced. Now Cindy left out the girls rebelling against her leadership, some even meeting on their own to create their own routines but she would not leave out one of the best dancers, those who never miss a spot because they're extremely good. So this good dancer wouldn't shut up because her her "main bitches" were cut from the trip and her mouth would not stop. She spoke mostly in Congolese so my informer didn't understand everything. In the plane Koffi, his wife and a few big wigs like 3 in the band fly first class/business class as the rest fly the economy class. The yapping lady never stopped forcing Koffi to send one of his jamaas to ask the super dancer to stop. She did not... prompting the airline Steward to ask her to stop or she will be detained... (I don't know where but it worked). Finally they arrive in the hotbed of tribalism, tibim and team mafisi (my words). Koffi doesn't carry luggage (I mean...) so he walks out with his manager and his entourage. His wife has gone to get their bags cleared along with other members as Koffi goes to talk to the media when he is informed that his wife is being confronted by super dancer and my informer isn't sure these are his words... "I think huyo dame ali slap Cindy but I can't say for a fact but kulikua na confrontation hadi cops waka intervene". From the video you can hear some Custom officials saying "Walikua wakipigana wenyewe kwa wenyewe? So Koffi warned super dancer and told her to consider herself fired after this trip and walked away but the chic started speaking stuff in Congolese and french in the video you could see Koffi agitated and not talking to the media as if listening to something... well super dancer was yapping and Koffi was angry and walked back to where super dancer was and threw a kick which actually never got her properly as super dancer pushed her bag to block the kick from Koffi and when Koffi went for his second assault which was a slap, it was blocked by one of his main guys and the presence of the police intimidated him. Apparently the police are one Koffi's worst phobias all over the world and especially Africa. So ladies and gentlemen there you have it a story that you will never hear from the media or entertainment news. Well if someone did that to the woman I love I might react even worse. I KNOW IT US NOT POLITE TO HIT A WOMAN but trust me kuna point hufika utajipata ume do kitu hutaki kufanya. Not all killers in prison wanted to kill. Case scenario a man who kills a man who raped his daughter but the courts could not find evidence. So there you have it folks, you can chose to believe it or assume it's just a blogger.
Duh exotic news.
 
Safi sana, udhalilishaji huu usipewe nafasi hata chembe. Kama anaweza kumpiga teke hadharani bila shaka kama hawako hadharani huwafanyia udhalilishaji wa hali ya juu. Hongera sana Polisi Kenya.

Tayari usiku huu yupo chini ya ulinzi na amepigwa muhuri mwekundu...hatoingia tena Kenya
Bravo Kenya
 
Kilichotokea ni madhara ya bosi kuwa na mahusiano na mfanyakazi wake na hatimaye kuoa mfanyakazi huyo na kumuacha akiendelea kufanya kazi ofisi hiyo hiyo na wafanyakazi wenzake wale wale.....
Chanzo cha Ugomvi kimeanzia mbali sana hata kabla hawajatua Kenya na aliyesababisha sekeseke lile litokee ni mrembo Cindy ambae Alikuwa ni mcheza shoo wa Koffi akaja akawa mpenzi wake na hatimaye mkewe.....

Baada ya Cindy kuwa mke wa Koffi hali kwenye band ilibadilika....Cindy alipandishwa cheo na kuwa kiongozi wa choreography ambaye Alikuwa na jukumu la kuongoza mazoezi ya kudance kubuni staili mbalimbali na mitindo kadha wa kadha ya kudance...Hilo halikuwapendeza waliokuwa wacheza shoo wenzake waliokuwa wanaamini nafasi aliyopewa hakustahili hata kama ni mke wa bosi kwani kulikuwa na wacheza shoo kibao wenye uwezo kumzidi na wazoefu na wako kwenye kundi kwa muda mrefu kuliko yeye,hao ndo wangepaswa kupewa nafasi hiyo...
Hali hiyo ikazua bifu kati ya Cindy na madensa hao wengine hususani wa kike...Sasaaaa Cindy hutumia madaraka yake kuwaadhibu hao mahasimu wake na huwaadhibu kwa kutowajumuisha kwenye tripu za kusafiri nje ya nchi.....

Kwenye safari ya kuja Kenya kuna madada hatari sana na wakali wa kudance waliachwa kitendo kilichowakera dancers wengine akiwemo Pamela yule aliyepigwa teke.....Pamela yeye bwana ni mropokaji hasa na hakusita kuzinguana na Cindy .......

Pale airport sasaaaaa Cindy si akamfuata Pamela na kumuambia amsaidie kubeba begi, Pamela akachomoa kisha akamuongelea shombo Cindy na si unajua wale wanawake tena,basi walirushiana maneno kiasi cha kuchapana makofi,hali iliyofanya Koffi afikishiwe taarifa......
Uamuzi wa Koffi ulikuwa mmoja tu,kumfuata Pamela kumsema na inasemekana Pamela aliambiwa baada ya kumalizika kwa tamasha lile yeye kazi basi.....Kama kawaida Pamela hakai na neno kifuani akaongea mbovu kwa Koffi....Unajua kilichofuata...
NDO LILE TEKE.....

KWAHIYO UKIANGALIA NA KUFUATILIA KWA MAKINI SANA TATIZO NI HILO KUJIHUSISHA NA MAPENZI NA MFANYAKAZI WAKO,UNAMPA CHEO ILI AWAONGOZE WALE WALE ALIOKUWA ANAFANYA NAO KAZI LINE MOJA,WENGINE WAKO JUU YAKE NA WENGINE WAKO CHINI YAKE....

NI JAMBO LA KAWAIDA KUWA KUNA WAFANYAKAZI WENZIE WALIKUWA WAKIMZIDI SANA KIUTENDAJI JE UNADHANI WATARIDHIKA????
NI KAWAIDA KUWA WATAKUWA NA KINYONGO NA MAMBO KAMA TAFRANI LAZIMA ZITATOKEA....
 
Hatimaye Kofi akamatwa na kusekwa lock up.
Famous Congolese singer Koffi Olomide
has been arrested on Friday night in
Kenya’s capital Nairobi after he was
caught on camera in the afternoon
kicking one of his dancers on arrival at
the airport.
The 59-year-old singer, who was
scheduled to hold a concert in Nairobi,
was arrested in front of television
cameras outside the premises of a
television station where he was granting
an interview.
 
Hasira ni moja ya mapungufu yetu......lakini kuacha hasira zikutawale na kukusababishia matatizo ni utashi wako.....
Lazima tujifunze namna ya kupokea mambo yenye mitazamo tofauti na sisi kwani tunaishi katika ya watu tuliokinzana katika mambo mengi tu......
Kuvumiliana kama wanajamii katika mambo mbali mbali ya kijamii ni nguzo kubwa ya umoja na amani miongoni mwetu......

Lazima tujue kuwa tunaishi na watu au kujumuika na watu wenye mitazamo na maoni tofauti na sisi....haijalishi iwe mitazamo chanya au hasi kwani hata sisi wenyewe sio watu wote hupendezwa na maoni yetu au mitazamo yetu.....na baadhi yao hutuambia ukweli tujirekebishe na wengine hutuacha tukipotea.....

Kitendo cha huyo Mwanamuziki mkongwe kufanya tukio hilo kimezusha maswali mengi yasiyo na majibu katika vichwa vya wastaarabu na waungwana.......bado nina amini yeye kama kiongozi wa kundi hilo kuna utaratibu maalumu wa kuwawajibisha wale wanaokwenda kinyume cha mstari kwani ni dhahiri kuwa kuna sheria zimewekwa kwa ajili ya kushughulikia masuala kama hayo......

Maamuzi aliyoyafanya ni moja ya maamuzi ya kipuuzi kupata kuyashuhudia....matukio kama hayo tumezoea kuyaona kwa vijana wanaotumia mihadarati lakini si kwa mtu mstaarabu kama huyo Koffi......maaana katika akili ya kawaida unawezaje kufanya alichokifanya huyo jamaa....??!!

Hii pia inaonyesha ndivyo pia yanavyotokea hata kwenye makundi mengine ya muziki na si wote wanaotendewa hayo wana jeuri ya kuwasemea maboss wao.......

Kwa sababu haya mambo yamefanyika katika nchi yenye utawala wa sheria...naamini hatua zaidi zitachukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine wote wenye tabia kama hizo.....
 
Power of Kenyan sociak Media #Justice served.

I am just thinking if this happened in TZ....would justice...
 
Swali lako ni la hovyo kabisa. Ulitaka teke limfikie ndio aitwe abuser! By the way, kitendo cha kuonyesha hasira na kusudio la kumpigia teke hilo linatosha kudhibitisha kuwa huyu jamaa hathamini wanawake. Wakenya hawanabudi kuboycort show zake
Post yako ni ya hovyo kabisa. Ulitaka niandike lile unalolifikiria wewe?. By the way, kila mtu ana mlengo wake katika hili suala. You have your point I got mine.
 
Sometimes mwanamke anaweza kukuudhi kiasi kwamba ukajikuta kofi limeshatoka tu kumshikisha adabu..... Hawa viumbe waache tu jinsi walivyo. Simtetei Koffii ila hawa viumbe ni wa ajabu sana na mwanaume usipokuwa nao makini utajikuta pabaya sana
 
Inasemekana eti ilikuwa ni katika kuwaprotect dancers wake kutoka kwa watu waliokuwa wanawazonga - kwamba teke lilikuwa limeelekezwa kwa mtu mwingine. All in all, nadhani hiyo ni kazi ya wale walinzi wake.
 
Inasemekana eti ilikuwa ni katika kuwaprotect dancers wake kutoka kwa watu waliokuwa wanawazonga - kwamba teke lilikuwa limeelekezwa kwa mtu mwingine. All in all, nadhani hiyo ni kazi ya wale walinzi wake.
Aah wapi, kama ingekuwa hivyo angewaambia Police wafanye hiyo kazi. Huyu jamaa mjinga sana, angekuwa West mara moja angerudishwa na asikanyage tena.

Ukiwa Mtu unayeheshimika unatakiwa uwe na uwezo wa kudhibiti hasira.
 
K
Usimtazame mwanamke kwa ukatili,
Mwanamke anatakiwa kuonewa huruma,
Mi nikikukuta unampiga mwanamke hata kama ndo ulikuwa unamrudishia baada ya yeye kukubonda na kitu.... ntakumaindi wewe , nitamsaidia mwanamke.
Komenti za kujipendekeza kwa wanawake kama hizi unatakiwa kuzitoa kwenye blogu ya mange kimambi na sio hapa jf
 
Post yako ni ya hovyo kabisa. Ulitaka niandike lile unalolifikiria wewe?. By the way, kila mtu ana mlengo wake katika hili suala. You have your point I got mine.


Mkuu linapokuja swala la haki hakuna mawazo au mlengo wako na wa mwingine. Kupiga wanawake ni kinyume cha haki na sheria sasa huwezi kutwambia eti ni mtazamo wako binafsi tukakielewa, hayo mawazo yako yamepitwa na wakati. Ni sawa na mtu anaeshabikia ubaguzi halafu atuambie ni mtazamo wake tu, NO!
Acheni kupiga wanawake. Hakuna kitu chochote kinachofanya mwanaume awe juu zaidi ya mwanamke kwenye jamii. Acheni mawazo ya kikoloni.
 
K

Komenti za kujipendekeza kwa wanawake kama hizi unatakiwa kuzitoa kwenye blogu ya mange kimambi na sio hapa jf


Hapa JF ndio mahali pake, watu wenye busara wapo wengi humu. Ni wapuuzi wachache tu ndio wanang'ang'ania wanamamlaka ya kuwapiga wanawake kisa tu ni wanawake. Mwanaume aliyekamilika hawezi kumpiga mwanamke hata siku moja.
 
We ulieleta taarifa hii ni mbea sana,hao maofisa waliokuja kumzia hapo hukuwaona?au una macho ya dj
Kazi ya polisi ni kumbembeleza mtuhumiwaa ..... Au kumchukulia hatua kwa kosa alilofanya?
 
Huyu Koffi sijui vwipi....ye hakuona Jay z alivyotulia wakati ule anapewa kipondo....mwanamuke hapigwi ati.
 
Hapa JF ndio mahali pake, watu wenye busara wapo wengi humu. Ni wapuuzi wachache tu ndio wanang'ang'ania wanamamlaka ya kuwapiga wanawake kisa tu ni wanawake. Mwanaume aliyekamilika hawezi kumpiga mwanamke hata siku moja.
.....yani we jamaa ni bonge la kuzi.,hujijui tu!
...eti mwanaume aliekamilika hawezi kufanya nini......?
 
Back
Top Bottom