Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,589
Kutokana na taharuki ya upotevu wa mizigo ya uganda, kamati ya uwekezaji ya bunge nchini Kenya PIC, imetoa maagizo kwa mkaguzi wa hesabu za serikali kufanya uchunguzi kuhusu upotevu wa mizigo ya Uganda kwenye bandari ya Mombasa.
KRA querried on ‘lost’ containers
KRA querried on ‘lost’ containers