Kenya kontena 4000 Za Uganda Ziko Wapi?

Hizo kontena hazikuwa za waganda, ni maneno ya watu kukwepa kulipa kodi. They declare the containers as headed to Kampala lakini zinapotea njiani between Mombasa and Malaba na bidhaa inauzwa humu Kenya
 
Kontena za Makonda naskia mumezikalia, japo naye kazikana.
 
Kontena elfu nee!!? Zile za kuhifadhia msosi kama wanazotumia mama ntilie?
 
corruption na mkenya ni ndugu wa tumbo moja wala sio kitu cha kushangaa hapa😀😀😀😀😀😀
 
4000 containers with 40feets hehehe hawa watu ni wezi wakimataifa 😀😀😀😀😀😀
Kuna hilo neno linasema "without trace" hata sijuwi wataanzia wapi kuzipata. [emoji23]
 
Kuna hilo neno linasema "without trace" hata sijuwi wataanzia wapi kuzipata. [emoji23]
inamaana zimepita hazikulipiwa ushuru pia zimepita bila ya scan na kwa wahusika hazikufika😀😀😀😀😀
 
inamaana zimepita hazikulipiwa ushuru pia zimepita bila ya scan na kwa wahusika hazikufika😀😀😀😀😀
Nakumbuka Magu alipogundua mchezo kama huu Dar walifanikiwa kujuwa upotevu wote na wahusika wakalipishawa pesa yote, tena ilikuwa mizigo ya ndani. Sasa hawa jamma hata kujuwa mizigo iko wapi na nani anahusika hawajuwi, tena mizigo sio yao. Wasubiri kulipa fidia kwa waganada maana hakuna namna nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…