Inakaa Museveni kagoma kujiunga na non electrified SGR!vizuri ila mbona wanatuchanganya kana kwamba sisi ni watoto wadogo...mara wanatuambia umeme utawekwa baada ya miaka minne.... kisha baadae wanasema hakuna umeme alafu wanabadili gear angani na kusema umeme utawekwa ila ni miaka miwili sasa...serikali iliochanganyikiwa hivi itaaminika kweli?
By then ndyo watajua Uhuruto teaming up with chinies ni kilio kwa Kenya.Huku kukimbilia kuiiga Tanzania kutaiua Kenya lazima Kenya itafilisika kwa hizi sarakasi za kutaka kua kama Tanzania.
Hehe nasubiri huo umeme uwekwe tujumlishe hiyo gharama kwenye Ile pesa yetu tuone cost ya kilometer moja ilipogotea inaweza kua million 7
Alafu hiyo pesa ni kuweka umeme kuanzia mombasa mpaka Nairobi sio reli yote Kwahiyo gharama ya reli nzima bado haijatoka,By then ndyo watajua Uhuruto teaming up with chinies ni kilio kwa Kenya.
Hehehe mpaka wachina waachane na nyie kwenye huo mradi na Uhuru aondoke madarakani Kenya itakua imeshapigwa mnada hiyo billion 2.4$ ya mombasa to Nairobi electrification ni gharama 70% ya ujenzi wa reli mpya na umeme wake ya Tanzania kutoka Dar mpaka Dom Hehehe yaani mnapigwa mpaka rahavizuri ila mbona wanatuchanganya kana kwamba sisi ni watoto wadogo...mara wanatuambia umeme utawekwa baada ya miaka minne.... kisha baadae wanasema hakuna umeme alafu wanabadili gear angani na kusema umeme utawekwa ila ni miaka miwili sasa...serikali iliochanganyikiwa hivi itaaminika kweli?
vizuri ila mbona wanatuchanganya kana kwamba sisi ni watoto wadogo...mara wanatuambia umeme utawekwa baada ya miaka minne.... kisha baadae wanasema hakuna umeme alafu wanabadili gear angani na kusema umeme utawekwa ila ni miaka miwili sasa...serikali iliochanganyikiwa hivi itaaminika kweli?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] hata hamjui itaenda speed ngapi baada ya hiyo electrification! Mnapelekwa kama mazuzu na nyie mna kenua minjino huku mkiwa na njaaMbona hizi taarifa zinawapa msongo wa mawazo nyie Watanzania, suck it up, accept and move on people, it's a reality.