pesa zipoHawa jamaa wanajua kutupa pesa aisee, duh!
pesa zipo
Uchaguzi Mkuu means General ElectionNi nini kama siyo Uchaguzi?
unaonaje tukiwalisha dada zako na kaka zako waliojazana pembeni mwa barabara mijini hadi vitongojini wakiombaomba?Ingependeza zisaidie hawa vijana wanaoangamia, kuliko kutumika kwa ufala wa bbi na handshakes (Handcheque)
Tofauti ni nini ? Kampeni zitakuwepo, chaos na interuption ni ile ile, rasilimali fedha zitakazotumika ni zile zile kama siyo zaidi, hivyo ni jina tu.
nimekwambia Uchaguzi Mkuu ni General Election. Wacha kuwa slowTofauti ni nini ? Kampeni zitakuwepo, chaos na interuption ni ile ile, rasilimali fedha zitakazotumika ni zile zile kama siyo zaidi, hivyo ni jina tu.
Pesa zipo?nchi imekubwa na njaa mpaka juzi mmetoka kuwaomba marekani chakulapesa zipo
btw, sio uchaguzi mkuu.
2022.Na hapo wakimaliza wanaingia kwenye uchaguzi mkuu ambao kampeni zilishaanza long ago,
Failed state
nionyeshe ni wapi imesemekana kwamba tumeomba chakula ama ni wamarekani kutaka kujaribu kujipendekeza kwetuPesa zipo?nchi imekubwa na njaa mpaka juzi mmetoka kuwaomba marekani chakula
Hizo pesa si mnunulie chakula watu wasife njaa
sawa BavichaNa wewe acha kuwa slow thinking pia!
nielezeNdo nini hiyo?
Hatari sana, naamini Bongo hatujafika level hii, ingawa watumiaji wapo.Ingependeza zisaidie hawa vijana wanaoangamia, kuliko kutumika kwa ufala wa bbi na handshakes (Handcheque)
Mgelianza kwanza kuzipeleka zile za wale wabunge na madiwani kujiuzulu na kupanga uchaguzi katika hayo majimboIngependeza zisaidie hawa vijana wanaoangamia, kuliko kutumika kwa ufala wa bbi na handshakes (Handcheque)