Kenya kujenga kituo cha Umeme wa Nyuklia chenye kugharimu dola Bilioni 5 na kuzalisha Megawati 4000

Kenya kujenga kituo cha Umeme wa Nyuklia chenye kugharimu dola Bilioni 5 na kuzalisha Megawati 4000

Wawekee hizo plant za nyuklia upande wa somali tu kule ili yakilipuka hayo makinu yawalipukie maadui zao akina alishababu.... Ila wasituletee upuuzi wao huu upande huku.....
Mbona chuki na Wasomali kwani sio binadamu?
 
Hii ni plan ya kukopa pesa .ile ya covid !9 inaanza kuisha hiyo ni plan B
 
Screenshot_20200808-152512.jpg
 
Hamwezi ruhusiwa weka hyo kitu...malizaneni na alshabaab kwanza..

Kenya ni inchi maskin sana dunian ingawa wananchi wake hawatak kubali hilo...tunu yenu ya taifa iliyobak ni kuongea kizungu tuu...lugha ya aliewatawala na kuwachapa viboko...what a proud kenyan.
Habari member wa kamati ya roho chafu na wapiga ramli! If you look at history this is how it goes
Kenya: We will put up a big project.........
Tanzanian: Hamuwezi !!!! (Roho chafu kama kawaida)
Kenya: We have started on the project.....................
Tanzanian: Tembo mweupe hiyo (Roho chafu tena tumezoea)
Kenya: We have completed the project and it has exceeded expectations in value for money and contribution to GDP....................
Tanzanian: (Amechanganyikiwa) Kibera, njaaa, kibera, njaa

NB: Kenya ilipata ilani kitambo sana kujenga hii nuclear power plant. Among the bidders ni south korea, japan, britain, china na russia.
 
Wakenya waanze na mambo wanayoyaweza vizuri kama kulima mahindi ili waweze kula ugali na sukuma wiki roho ikiwa imetulia. Siyo watu wanakufa njaa afu unaanza kuja na hoja kama hizi.
 
Kenya kujenga kituo cha umeme wa nyuklia chenye kugharimu dola bilioni 5 kinu hicho kinatarajiwa kuwa kitazalisha umeme wa Megawati 4000

Shirika la Nishati ya Nyuklia la Kenya (NuPEA) limewasilisha ripoti kuhusu mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa nyuklia ambacho ujenzi wake unatazamiwa kugarimu dola bilioni 5.

Kwa mujibu wa tovuti ya Bloomberg, ujenzi wa kituo hicho unakaribia kuanza na kitazinduliwa katika kipindi cha miaka saba ijayo.

Shirika la Nishati ya Nyuklia la Kenya limewaswilisha ripoti ya ujenzi huo kwa Shirika la Kitaifa la Usimamizi wa MazingiraKenya (NEMA) huku ripoti zikisema serikali ya Kenya inapanga kuzalisha megawati 4,000 za nishati ya nyuklia ifikapo mwaka 2035.

Baada ya NuPEA kuwasilisha ripoti hiyo kwa NEMA, wananchi wa Kenya wanatazamiwa kujadili masuala ya kimazingira yanayohusiana na ujenzi wa kituo hicho cha nyuklia.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza azma ya kuhakikisha kuwa uzalishaji umeme wa Kenya unaimarishwa kutoka megawati 2,712 hivi sasa hadi megawati 22,000 ifikapo mwaka 2031 ili kuimarisha sekta ya viwanda katika nchi hiyo yenye uchumi mkubwa zaidi mashariki mwa Afrika. Kituo hicho cha nyuklia nchini Kenya kinatazamiwa kujengwa katika Kaunti ya Tana River iliyo katika eneo la pwani

Hizi sio story kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom