Natanguliza salamu, na nikukosoe, japo kidogo, kwa kutumia neno obsessed kwenye post yako, tulifurahishwa jinsi mlivyojitokeza na kupiga kura kwa amani na jinsi raisi Magufuli hit the road running akaonyesha tofauti kati yake na aliyekuwa rais hapo awali. Mimi kama Mkenya, na ndugu zangu wengi hapa, huwa tunafwatilia kwa makini matukio mengi ya Tanzania, siasa ikiwa mojawapo, so tukiona jambo zuri kama raisi mpya alivyo bana mawaziri kusafiri nje na impromptu appearance ministry of Finance Ijumaa, huwa tunapost twitter na mitandao ya kijamii kuonyesha kuwa tunataka a pro active president, tunataka iwe changamoto kwake na viongozi wengine. Hapo hakuna obsession, tumefurahishwa na matukio yaliotendeka tangia mpige kura.