Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Nimegundua kwamba Kenya kuna power vacuum kubwa sana, kwa maana kwa mara ya kwanza Wakenya wamekuwa obsessed sana na uchaguzi wa TanZania.
Nilifikiri ni jambo la kawaida wakati wa kampeni za Uchaguzi, lakini cha kushangaza hata baada ya Magufuli kuapishwa kuwa Raisi wetu bado wako obsessed naye na wanafwatilia kila move anayofanya na wanatamani hata wangepata Rais kama Magufuli.
Sasa hii ni ishara mbaya kwa nchi ya Kenya, inaonyesha kwamba Wananchi wa nchi hiyo wamepoteza imani na Serikali yao na hawana cha kujivunia na ndiyo maana wanaona angalau wafwatile Rais wetu anafanya nini na anaongozaje!
Nilifikiri ni jambo la kawaida wakati wa kampeni za Uchaguzi, lakini cha kushangaza hata baada ya Magufuli kuapishwa kuwa Raisi wetu bado wako obsessed naye na wanafwatilia kila move anayofanya na wanatamani hata wangepata Rais kama Magufuli.
Sasa hii ni ishara mbaya kwa nchi ya Kenya, inaonyesha kwamba Wananchi wa nchi hiyo wamepoteza imani na Serikali yao na hawana cha kujivunia na ndiyo maana wanaona angalau wafwatile Rais wetu anafanya nini na anaongozaje!