GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Kwa mfano leo hii hao akina Trump wakisema kwamba wamefanikiwa kuidhibiti corona na kuimaliza, ni lipi watafanya hawa wazungu wenzao waliopo Kenya?
Na wao wataiga au wataondoa lock down kimya kimya?
Kuweka rekodi sawa tu, Tanzania ilirejesha shughuli za watu miezi miwili imepita sasa pamoja na kufungua mashule na vyuo. Mpaka wakati huu mambo yako shwari kabisa. Hakuna maiti wala mtu kuugua.
Nilitarajia kwamba hawa majirani zetu watakuwa wamejifunza japo kwa kutizama, kumbe bado wanasubiri tamko la Trump?
Kule Uganda naona museven ameanza kulegeza kimya kimya kwa aibu!
Hawa wazungu wa Kenya bado wanakokotoa tu minamba ya COVID huku wakingojea maelekezo ya kusitisha kukokotoa toka ughaibuni!
Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni!
Na wao wataiga au wataondoa lock down kimya kimya?
Kuweka rekodi sawa tu, Tanzania ilirejesha shughuli za watu miezi miwili imepita sasa pamoja na kufungua mashule na vyuo. Mpaka wakati huu mambo yako shwari kabisa. Hakuna maiti wala mtu kuugua.
Nilitarajia kwamba hawa majirani zetu watakuwa wamejifunza japo kwa kutizama, kumbe bado wanasubiri tamko la Trump?
Kule Uganda naona museven ameanza kulegeza kimya kimya kwa aibu!
Hawa wazungu wa Kenya bado wanakokotoa tu minamba ya COVID huku wakingojea maelekezo ya kusitisha kukokotoa toka ughaibuni!
Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni!