Kenya kupitisha sheria kali kwa wanaodhalilisha viongozi, kueneza chuki na mgawanyiko

Kenya kupitisha sheria kali kwa wanaodhalilisha viongozi, kueneza chuki na mgawanyiko

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia na ukabila sanjali na aina nyingine za manyanyaso ya kijinsia wakiachwa wanatamba na kuendelea kuleta sintofahamu kwenye jamii na mstakabali wa Nchi.

Nitie wito kwa Serikali kuanza kuwashughulikia hao watu Kwa Nguvu zote,hakuna Demokrasia ya hivyo hata huko Kwa wenye Katiba Mpya 😂.

View: https://x.com/africaupdates/status/1879735018983186469?t=Sqnkh9VfqvOgORtuZuTYBw&s=19
 
Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia na ukabila sanjali na aina nyingine za manyanyaso ya kijinsia wakiachwa wanatamba na kuendelea kuleta sintofahamu kwenye jamii na mstakabali wa Nchi.

Nitie wito kwa Serikali kuanza kuwashughulikia hao watu Kwa Nguvu zote,hakuna Demokrasia ya hivyo hata huko Kwa wenye Katiba Mpya 😂.

View: https://x.com/africaupdates/status/1879735018983186469?t=Sqnkh9VfqvOgORtuZuTYBw&s=19

Na hiyo sheria iwe msumeno.Je,hao viongozi kama ni kweli waovu wafanyweje kisheria?Hakuna kutetea wala kulinda wajingawajinga.
 
Kweli kabisa, ningependa Tume ya Uchaguzi na Msajili wa Vyama waanze kwa kutunga kanuni kudhibiti udhalilishaji wa kijinsia, ubaguzi wa eneo analotoka mtu, na ukabila.

Naona kama kutukana wanawake imekuwa sehemu ya siasa za Lissu na Heche. adhabu iwe kufungiwa kugombea nafasi yoyote ya kisiasa kwa miaka mitano
 
Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia na ukabila sanjali na aina nyingine za manyanyaso ya kijinsia wakiachwa wanatamba na kuendelea kuleta sintofahamu kwenye jamii na mstakabali wa Nchi.

Nitie wito kwa Serikali kuanza kuwashughulikia hao watu Kwa Nguvu zote,hakuna Demokrasia ya hivyo hata huko Kwa wenye Katiba Mpya 😂.

View: https://x.com/africaupdates/status/1879735018983186469?t=Sqnkh9VfqvOgORtuZuTYBw&s=19

🚮
Mnateka na kuua wananchi kwa sababu nyepesi za kijinga kijinga na bado hamjatosheka?!!!

Kwa hiyo wananchi hawana haki ya kukosoa watawala waovu?
 
Kweli kabisa, ningependa Tume ya Uchaguzi na Msajili wa Vyama waanze kwa kutunga kanuni kudhibiti udhalilishaji wa kijinsia, ubaguzi wa eneo analotoka mtu, na ukabila.

Naona kama kutukana wanawake imekuwa sehemu ya siasa za Lissu na Heche. adhabu iwe kufungiwa kugombea nafasi yoyote ya kisiasa kwa miaka mitano
Kwa hiyo unapendekeza wawatukane wanaume tu.
NB;Tuwekee matusi waliyowatukana hao wanawake ili usiitwe kaongokaongo.
 
Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia na ukabila sanjali na aina nyingine za manyanyaso ya kijinsia wakiachwa wanatamba na kuendelea kuleta sintofahamu kwenye jamii na mstakabali wa Nchi.

Nitie wito kwa Serikali kuanza kuwashughulikia hao watu Kwa Nguvu zote,hakuna Demokrasia ya hivyo hata huko Kwa wenye Katiba Mpya 😂.

View: https://x.com/africaupdates/status/1879735018983186469?t=Sqnkh9VfqvOgORtuZuTYBw&s=19

Hivi wanayo sheria ya kuwaadhibu viongozi wanaodhalilisha wananchi?
 
Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia na ukabila sanjali na aina nyingine za manyanyaso ya kijinsia wakiachwa wanatamba na kuendelea kuleta sintofahamu kwenye jamii na mstakabali wa Nchi.

Nitie wito kwa Serikali kuanza kuwashughulikia hao watu Kwa Nguvu zote,hakuna Demokrasia ya hivyo hata huko Kwa wenye Katiba Mpya 😂.

View: https://x.com/africaupdates/status/1879735018983186469?t=Sqnkh9VfqvOgORtuZuTYBw&s=19

 
Kudhalilishwa Kwa viongozi inatokana na makosa Yao wenyewe wanayowafanyia wananchi.Kama kiongozi anatimiza wajibu wake vizuri Kwa 100% hakuna mtu wa kumdhalilisha au kumtania.Hakuna haja ya kutunga Sheria ili wajilinde Hawa wakoloni weusi Bali wao wajikite na kusimamia haki siyo kujitungia Sheria wasikosolewe.waache kabisa ujinga huo
 
Ni wapi hawataki? Mbona unaongea mada hazihusiani?
Kiongozi yeyote wa umma asiyetaka kukosolewa aache uongozi akafanye kazi zake binafsi, hakuna atakayemfuata nyumbani kwake kumkosoa.

Haiwezekani uwe mtumishi wa umma, unalipwa na kugharimiwa kila kitu kwa kodi za wananchi na unatumia ofisi za umma halafu ujigeuze kuwa mungu, kwamba hutaki kukosolewa na waajiri wako ambao ni umma, kwani hiyo kazi ni yako binafsi?!
 
Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia na ukabila sanjali na aina nyingine za manyanyaso ya kijinsia wakiachwa wanatamba na kuendelea kuleta sintofahamu kwenye jamii na mstakabali wa Nchi.

Nitie wito kwa Serikali kuanza kuwashughulikia hao watu Kwa Nguvu zote,hakuna Demokrasia ya hivyo hata huko Kwa wenye Katiba Mpya 😂.

View: https://x.com/africaupdates/status/1879735018983186469?t=Sqnkh9VfqvOgORtuZuTYBw&s=19

Hahahahah wakati hayati JPM anawapelekea moto wapuuzi wa aina hio aliitwa kila jina baya na la kikatili.🤣 Haswa kuitwa mtu ambaye hakupenda demokrasia na dikteta.

Sahizi naona Kenya wamejifunza kitu sasa.
 
Back
Top Bottom