Alifikiri ni Tshs.400 billioonDola billion 400 unazijua mkuu?
Angalia figures zako vzr.
Labda hivyo mkuu, lkn interms of $$ aisee haiwezekani kabisaa.Alifikiri ni Tshs.400 billioon
Acha kuzungumza vitu usivyovijua wewe, nani kakuambia Rufiji hydroelectric dam tunakopa?, Kenya hayo matatizo waliyataka wenyewe hakuna mtu yoyote aliyeeaombea matatizo, kila walivyokuwa wanashauriwa walikataa na kujifanya wajuaji, hadi Leo hii bado wanakataa kwamba hakuna tatizo lolote na hakuna kosa lolote walilofanya.Nchi za kiafrika chini ya jangwa la sahara wote tuna madeni yanayoligana . usijifariji kuwa Tz tuko salama kumbuka wahenga walisema mwenzio akinyolewa na wewe tia Maji kichwa chako. Hivi unajua Tz inakusanya kiasi gani kwa mwezi na inalipa kiasi gani deni la nje kwa mwezi. Tukiongeza deni SGR na Stiegler' s gorge deni letu halihimiliki. Ndiyo utajua kuwaombea Jirani zako mabaya na wewe yataukuta.
pumbafu sana, yaan ka akili kameenda likizoPumbavu! Nimekupa source ya news wewe bado unabwabwaja!