Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Hii ni kutokana na kusua sua kulipa deni la takribani Ksh bilioni 400 zilizokopwa Exim Bank ya China kwa ajili ya kujenga reli ya standard gauge kutoka Mombasa hadi Nairobi.
Endapo hii itatokea itakuwa pigo kubwa sana kwa ustawi wa Kenya.
Source: Radio RFI
Endapo hii itatokea itakuwa pigo kubwa sana kwa ustawi wa Kenya.
Source: Radio RFI