Hizi habari nusu nusu taabu sana. Hujatuambiwa nani atawarushia marekani ama urusi ama wenyewe. Launch itakua wapiThe Citizen Tanzania @TheCitizenTZ 8h8 hours ago
Kenya is set to launch its first locally made Ksh100milion (about USD 1m) satellite on Friday, marking the country’s venture into space science [HASHTAG]#TheCitizenToday[/HASHTAG]
View attachment 770242
Dats Iz Y? Niliachaga Tz citizenKenya imepanga kurusha angani satelaiti yake ya kwanza iliyotengenezwa na wazawa siku ya Ijumaa Mei 11, 2018.
Satelaiti hiyo imegharimu takribani dola za marekani milioni 1(Ksh milioni 100).
Satelaiti hiyo imetengenezwa na watafiti na wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwa msaada wa Chuo Kikuu cha Sapienza cha Italia na wabobezi kutoka Wakala wa Uchunguzi wa Anga za Juu wa Japan.
Satelaiti hiyo itarushwa kutokea Japan na Waziri wa Elimu, Bi. Amina Mohamed atakuwepo kushuhudia tukio hilo.
Itatumika kukusanya taarifa za mabadiliko na utabiri wa hali ya hewa, ufuatiliaji wa wanyamapori, ufuatiliaji wa ukanda wa bahari, usafirishaji na ugavi.
Story Credit to JamiiForums and bbc.
-
[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] tuko bize kutafuta nani anatumiwa na wazungu na mabepari kuchelewesha maendeleo ya nchi, nani siyo mzalendo, nani anamuita Magufuli Dikteta n.k. Kwa kweli kupanga ni kuchagua.
[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J
Stigla gorge [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji33][emoji33]Kwani satellite ina umuhimu gani kushinda stigla gorge na bombardier!! Mdharau cha kwao mtumwa.
Hujaelewa auStigla gorge [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji33][emoji33]
Bombadier ya nn ilihali kuwa wananchi toka uhuru mpaka sasa wanashida ya maji, umeme na other basic needs, kwa nn hizo hela wasingekazia kutatua kero hizo za muda mrefu kwanza halafu ndo wangeamia huko kwenye Ndege.Kwani satellite ina umuhimu gani kushinda stigla gorge na bombardier!! Mdharau cha kwao mtumwa.
That's why I wanted to know exactly the benefit of having that satellite especially to a poor country like Kenya? If there are benefits then can you mention them please$1 million for rotating piece on the space meanwhile the taxpayers life
There's no even a fake benefitThat's why I wanted to know exactly the benefit of having that satellite especially to a poor country like Kenya? If there are benefits then can you mention them please
Hili ni swali ama nin Chief unataka kusema?Kwani satellite ina umuhimu gani kushinda stigla gorge na bombardier!! Mdharau cha kwao mtumwa.