Wewe mtoa mada, matumizi ya hiyo satellite yako mentioned kwenye source ya hiyo habari sijajua kama hukuona au umeiacha makusudi, kingine nilichojifunza sio kutumia bilioni mbili! Maana wengine wanaanza kuonyesha hizo billioni mbili sijui zingesaidia masikini, foolish. Kwa waelewa tunachokiona ni hatua ambayo wanafunzi wa engineering wa kenya walivyopiga hatua, Tunaviangalia zaidi hivyo vi billioni mbili kuliko uwekezaji unaofanywa, na ndipo tunapofeli, anyway ngoja miaka 20 ijayo usike tanzania inanua satellite made in kenya kwa billioni 15. Ndio utajua faida ya kinachoendelea.
View attachment 770353