Kenya kutangaza k'manjaro

gwantemala

Member
Joined
Aug 9, 2016
Posts
22
Reaction score
5
Si ungwana kenya kuendelea na utapeli wa kutangaza mlima kilimanjaro kuwa uko kenya mm ningemshauri Rais kenyatta kutofanya hivyo maana imeonekana kuwa jambo la kawaida kwao lakini Tanzania inakosa mapato kila mwaka kwa ajili ya kenya
 
Lete Source ya kuwa Rais Uhuru Kenyatta anatangaza Mt.Kilimanjaro ipo Kenya.
 
Sijasema uhuru bali nchi sasa inaongozwa na mhe uhuru kenyata sasa kama comission ya utalii wanafanya hivyo waache mara moja vinginevyo nitawafungulia kesi ICC ya kuujumu uchumi wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…