But mmeshindwa kutumia akili hata kidogo katika kuondoa njaaVitu vinavyohitaji matumizi ya akili kama hivi hutawakuta, hawa sijui kipi maana hawapo kwa vitu vya akili wala hata kwa vinavyotegemea nguvu maana hata michezo wameshindwa kwenye kila aina ya mchezo...
Hongera sana Kenya... we are a giant in every sector
Tungekua na hata robo ya ardhi mlionayo, Afrika hii ingetukoma, nyie mna hadi madini kote lakini maskini wa kutupwa, halafu naona kwa kutumia ubabe bila akili sasa mumeanza kushtakiwa na makapumni yote ya madini, mindege itakamatwa sana, ona hizi taarifa hapa
Third miner declares dispute with Tanzania government
Another Canada-based company Montero Mining and Exploration is in dispute with the government over a repossessed retention mining licence.www.thecitizen.co.tz
Na hapa je?
Only 1 percent of Kenyaβs Big Four Agenda targets met so far
Four pillars of development form the basis of President Uhuru Kenyatta βs legacywww.theeastafrican.co.ke
Na zile slums pia zimesababishwa na kukosa madini na ardhi yenye rutuba uzwazwa wenu tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingependeza sana ungemuuliza mleta uzi Kwanini asingeandika hivi "Kenya kwenye uwanja pamoja na mibabe" na sio hivi "Kenya kwenye uwanja pamoja na mibabe - Bongo wapo wapi" wala msinge ingiliwa kwenye uzi wenu,Aisee, matusi kisa Kenya ipo kwenye orodha ya Forbes kuhusu AI? Mbona naona Tunisia pia wapo? Kwani kuna mtu ambaye amewazuia nyie watz kuwa na mipango yenu na mikakati kwenye masuala ya AI? Kuiponda Kenya kuhusu jambo njema ambalo imefanikiwa kufanya haitabadilisha hali ilivyo. Wala haitafanya Tz itajwe kwenye masuala kama haya kimiujiza miujiza.
Matusi unayaona ya watz ambao wanareturn matusi from your mk254 ambae naona huoni matusi yake.Aisee, matusi kisa Kenya ipo kwenye orodha ya Forbes kuhusu AI? Mbona naona Tunisia pia wapo? Kwani kuna mtu ambaye amewazuia nyie watz kuwa na mipango yenu na mikakati kwenye masuala ya AI? Kuiponda Kenya kuhusu jambo njema ambalo imefanikiwa kufanya haitabadilisha hali ilivyo. Wala haitafanya Tz itajwe kwenye masuala kama haya kimiujiza miujiza.
Magufuli hoyeee!!Ingependeza sana ungemuuliza mleta uzi Kwanini asingeandika hivi "Kenya kwenye uwanja pamoja na mibabe" na sio hivi "Kenya kwenye uwanja pamoja na mibabe - Bongo wapo wapi" wala msinge ingiliwa kwenye uzi wenu,
Siku mkifanikiwa Kupambana na njaa, slums, ukabila hakika tutawapongeza sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo haiwezi kunusa hapo, serikali badala ya kufanya shughuli za maendeleo ya Watu wake imekalia kudhibiti na kununua viongozi wa Upinzani, kukandamiza demokrasia na haki za binadamu, haya ndio mambo yanayowarudisha nyuma, mtapiga mark time saaana.Nchi ambazo zina mipangilio ya kitaifa kuhusu technologia za AI
View attachment 1327819
China β The First Artificial Intelligence Superpower
China combines a gigantic amount of data with talent, companies, research and capital to build the world's leading AI ecosystem.www.forbes.com
SGR imewashinda πππNa hapa je?
Only 1 percent of Kenyaβs Big Four Agenda targets met so far
Four pillars of development form the basis of President Uhuru Kenyatta βs legacywww.theeastafrican.co.ke
ππππ Ndege zitakuwa grounded Hadi lini? joto la jiweTungekua na hata robo ya ardhi mlionayo, Afrika hii ingetukoma, nyie mna hadi madini kote lakini maskini wa kutupwa, halafu naona kwa kutumia ubabe bila akili sasa mumeanza kushtakiwa na makapumni yote ya madini, mindege itakamatwa sana, ona hizi taarifa hapa
Third miner declares dispute with Tanzania government
Another Canada-based company Montero Mining and Exploration is in dispute with the government over a repossessed retention mining licence.www.thecitizen.co.tz
3/4 ya ardhi ni mali ya familia halafu mnasema mna akili, hivi mnashindwa kuinyang'anya hiyo royal familyTungekua na hata robo ya ardhi mlionayo, Afrika hii ingetukoma, nyie mna hadi madini kote lakini maskini wa kutupwa, halafu naona kwa kutumia ubabe bila akili sasa mumeanza kushtakiwa na makapumni yote ya madini, mindege itakamatwa sana, ona hizi taarifa hapa
Third miner declares dispute with Tanzania government
Another Canada-based company Montero Mining and Exploration is in dispute with the government over a repossessed retention mining licence.www.thecitizen.co.tz