Kenya kwenye uwanja pamoja na mibabe - Bongo wapo wapi

Kenya kwenye uwanja pamoja na mibabe - Bongo wapo wapi

3/4 ya ardhi ni mali ya familia halafu mnasema mna akili, hivi mnashindwa kuinyang'anya hiyo royal family

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo utuonyeshe hyo 3/4 ya ardhi..manake zaid ya robo tatu ya wakenya wanaishi southern part of kenya...
Northern part of kenya ni jangwa, na pia kunaishi watu wa chache sana...huku northern kenya ikiwa na eneo sawia na nusu ya kenya yote..

Sasa tuonyeshe hyo robo tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo utuonyeshe hyo 3/4 ya ardhi..manake zaid ya robo tatu ya wakenya wanaishi southern part of kenya...
Northern part of kenya ni jangwa, na pia kunaishi watu wa chache sana...huku northern kenya ikiwa na eneo sawia na nusu ya kenya yote..

Sasa tuonyeshe hyo robo tatu

Sent using Jamii Forums mobile app

Wa hivyo ni kuwapuuza, halafu utakuja kushangaa unajibizana na mtu mmoja mwenye IDs tofauti.
 
Njoo utuonyeshe hyo 3/4 ya ardhi..manake zaid ya robo tatu ya wakenya wanaishi southern part of kenya...
Northern part of kenya ni jangwa, na pia kunaishi watu wa chache sana...huku northern kenya ikiwa na eneo sawia na nusu ya kenya yote..

Sasa tuonyeshe hyo robo tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani royal family ina hold sqm ngapi za fertile land?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tungekua na hata robo ya ardhi mlionayo, Afrika hii ingetukoma, nyie mna hadi madini kote lakini maskini wa kutupwa, halafu naona kwa kutumia ubabe bila akili sasa mumeanza kushtakiwa na makapumni yote ya madini, mindege itakamatwa sana, ona hizi taarifa hapa
Na hii je si mkaichukue kwa familia ya uhuru
tapatalk_1578844814230.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom