Njoo utuonyeshe hyo 3/4 ya ardhi..manake zaid ya robo tatu ya wakenya wanaishi southern part of kenya...3/4 ya ardhi ni mali ya familia halafu mnasema mna akili, hivi mnashindwa kuinyang'anya hiyo royal family
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo utuonyeshe hyo 3/4 ya ardhi..manake zaid ya robo tatu ya wakenya wanaishi southern part of kenya...
Northern part of kenya ni jangwa, na pia kunaishi watu wa chache sana...huku northern kenya ikiwa na eneo sawia na nusu ya kenya yote..
Sasa tuonyeshe hyo robo tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani royal family ina hold sqm ngapi za fertile land?Njoo utuonyeshe hyo 3/4 ya ardhi..manake zaid ya robo tatu ya wakenya wanaishi southern part of kenya...
Northern part of kenya ni jangwa, na pia kunaishi watu wa chache sana...huku northern kenya ikiwa na eneo sawia na nusu ya kenya yote..
Sasa tuonyeshe hyo robo tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii je si mkaichukue kwa familia ya uhuruTungekua na hata robo ya ardhi mlionayo, Afrika hii ingetukoma, nyie mna hadi madini kote lakini maskini wa kutupwa, halafu naona kwa kutumia ubabe bila akili sasa mumeanza kushtakiwa na makapumni yote ya madini, mindege itakamatwa sana, ona hizi taarifa hapa
Third miner declares dispute with Tanzania government
Another Canada-based company Montero Mining and Exploration is in dispute with the government over a repossessed retention mining licence.www.thecitizen.co.tz
Bwahahaaa!!umeshindwa kutuonyesha hzo robo tatu...
Jinga sana hilo jamaa....Wa hivyo ni kuwapuuza, halafu utakuja kushangaa unajibizana na mtu mmoja mwenye IDs tofauti.