MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hakuna kuishi kwa mazoea tena, polisi ukifanya madudu inakula kwako, fanya kazi yako kwa kuheshimu mipaka ya sheria, hakuna wa kukutetea ukichepuka, nchi hii tumepiga hatua sana kidemokrasia, kuna baadhi yetu tuliumia sana kipindi tunapmbana na utawala mbovu wa awali, haipaswi kuona polisi wa Kenya wanafanya vituko ambavyo tumezoea kuona kwa majirani, hawa 40 wanaelekea kufutwa kazi na kuishia gerezani.
========================
Police assault a Kenyan on March 27, 2020, as the nationwide curfew commenced
Govt Cracks Whip on 40 Rogue Police Officers
========================
Police assault a Kenyan on March 27, 2020, as the nationwide curfew commenced
Govt Cracks Whip on 40 Rogue Police Officers