Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Idadi ya maambukizi ya #COVID19 imeongezeka baada ya maambukizi 127 mapya kuthibitika na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya maambukizi 1,745. Idadi hiyo imekuja baada ya kupima sampuli 3,831
Wizara ya Afya imesema pia watu 4 zaidi wamefariki na kufanya idadi ya vif kufikia 62. Vifo vinne vilivyoongezeka vyote vimetokea Mombasa
Aidha watu 17 wamepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani na kufanya idadi ya waliopona kuwa 438
====
The number of Covid-19 cases in Kenya continues to rise by the day with the total number of infections now hitting 1,745 following confirmation of 127 cases on Friday.
The 127 new cases were confirmed following the testing of 3,831 samples over the last 24 hours.
In a press briefing on Friday, Health Ministry CAS Dr. Mercy Mwangangi also announced that four more patients had succumbed to the coronavirus disease raising the total number of fatalities in the country to 62. All the four deaths were recorded in Mombasa.
17 more patients have also been discharged bringing the number of recoveries so far to 438.
The new cases are distributed as follows: Nairobi (76), Mombasa (19), Busia (16), Uasin Gishu (8), Kiambu (2), Kajiado (5) and Isiolo (1).
In Nairobi, Kibra had the highest number of cases at 49, followed by Ruaraka (13), Makadara (4), Westlands (4), Langata (2), with Embaksi West, Kasarani, Dagoretti North and Starehe recording one case each.
The 19 cases in Mombasa are distributed as follows: Kisauni (7), Mvita (6), Nyali (3), Likoni (2) and Jomvu (1).
So far the country has tested 74,003 samples.
Wizara ya Afya imesema pia watu 4 zaidi wamefariki na kufanya idadi ya vif kufikia 62. Vifo vinne vilivyoongezeka vyote vimetokea Mombasa
Aidha watu 17 wamepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani na kufanya idadi ya waliopona kuwa 438
====
The number of Covid-19 cases in Kenya continues to rise by the day with the total number of infections now hitting 1,745 following confirmation of 127 cases on Friday.
The 127 new cases were confirmed following the testing of 3,831 samples over the last 24 hours.
In a press briefing on Friday, Health Ministry CAS Dr. Mercy Mwangangi also announced that four more patients had succumbed to the coronavirus disease raising the total number of fatalities in the country to 62. All the four deaths were recorded in Mombasa.
17 more patients have also been discharged bringing the number of recoveries so far to 438.
The new cases are distributed as follows: Nairobi (76), Mombasa (19), Busia (16), Uasin Gishu (8), Kiambu (2), Kajiado (5) and Isiolo (1).
In Nairobi, Kibra had the highest number of cases at 49, followed by Ruaraka (13), Makadara (4), Westlands (4), Langata (2), with Embaksi West, Kasarani, Dagoretti North and Starehe recording one case each.
The 19 cases in Mombasa are distributed as follows: Kisauni (7), Mvita (6), Nyali (3), Likoni (2) and Jomvu (1).
So far the country has tested 74,003 samples.