luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
-
- #41
Aisee ni kweli nasikia tena walikuwa wana wahudumia hata raia wa somalia laghafa wamewateka nafikiri itakuwa al shabaab wamewapeleka wakawatibie majeruhi wao pengine watawarejesha embu ngoja tusubirie latestKuishi na msomali afadhali ya kuishi na cobra ndani. Utajua una hatari ujihami .
Hawa watu na imani yao hii ya kiibilisi watatesa watu sana. Madaktari wanawahudumia wao wenyewe !!. Lakini wanapata shinikizo za kiimani kufanya maasi.
Wakiachwa na serikali bila huduma ya afya wanapiga kelele . Waafrica hizi dini tumezilimbukia mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujulikana zaidi hapa Africa, kill each other, hiyo ndio sababu kuu ya kujulikana kwa Mandera na miji mingi ndani ya Somalia, hakuna sababu yoyote ya dunia kuijua Iringa, Mbeya, Morogoro au Mpanda.yani jamaa wanaangalia mpka jfk...wanajua habari za mandera mpka km kutoka madera hadi somalia...duh!!hili linadhihirisha ya kwamba mna ilele ndoto ya kuijua kenya mitandaoni...
yani average kenyan ukitoa wana jf...sidhani km kuna mtu anajuwa kuna sehmemu inaitwa mbeya sijui iringa...yani sahau..watu wako busy na hamsini zao
Unabisha? Hebu kamuulize jirani yako kama StarTv yenu haikuwa inarusha vipindi vya CitizenTv hadi asubuhi. Alafu kwa kuiga ndio usiseme, kutoka Power Breakfast ya Citizen Tv ambayo waliiga Clouds, Nimekubamba ambayo waliiga kutoka Kaa Rada ya Citizen Tv. Bulls Eye ya NTV wakaiita Jicho la Ng'ombe. Niendelee ama nisiendelee?can you justify huo upuuzi uliandika hapo ? leta ushahidi mwehu ww
unakumbuka sakata mkuu...sai wameiga story yangu,lkn wao wameipa jina maisha yangu...hyo niliiona maisha magic bongo waki i advertise..Unabisha? Hebu kamuulize jirani yako kama StarTv yenu haikuwa inarusha vipindi vya CitizenTv hadi asubuhi. Alafu kwa kuiga ndio usiseme, kutoka Power Breakfast ya Citizen Tv ambayo waliiga Clouds, Nimekubamba ambayo waliiga kutoka Kaa Rada ya Citizen Tv. Bulls Eye ya NTV wakaiita Jicho la Ng'ombe. Niendelee ama nisiendelee?
Wewe kichencheleee kweliii v neno power breakfast ni mali ya kenya ? Iyo ni lugha mzee basi kama ni ivyo neno news pia tvs za afrika zimeiga !! ..star tv hairushi vipindibvya citizen even a single day labda ktk taarifa za afrika mashariki sometime ndio wanachukua habari toka stations tb za nchi zingineUnabisha? Hebu kamuulize jirani yako kama StarTv yenu haikuwa inarusha vipindi vya CitizenTv hadi asubuhi. Alafu kwa kuiga ndio usiseme, kutoka Power Breakfast ya Citizen Tv ambayo waliiga Clouds, Nimekubamba ambayo waliiga kutoka Kaa Rada ya Citizen Tv. Bulls Eye ya NTV wakaiita Jicho la Ng'ombe. Niendelee ama nisiendelee?
unakumbuka sakata mkuu...sai wameiga story yangu,lkn wao wameipa jina maisha yangu...hyo niliiona maisha magic bongo waki i advertise..
naswa pia km sikosei...
churchill show nao siku hz wako na ya kwao..yani hawa jama vitu vungi hufanya kw sababu kenya wanafanya..hadi nashangaa walai..tatizo ubora wao huaga upo chini...
Acha kuruka ruka na kuhamisha goal post ndugu yangu Lubulila. Alafu yaani wewe hapo unaona sifa wanahabari wenu wanapofanya copy and paste kutoka kwa wenzao wakenya? Tena wanaiga yote kutoka jina, content hadi mtindo wanaotumia kupeperusha kipindi chao. Hiyo ni zaidi ya aibu.Wewe kichencheleee kweliii v neno power breakfast ni mali ya kenya ? Iyo ni lugha mzee basi kama ni ivyo neno news pia tvs za afrika zimeiga !! ..star tv hairushi vipindibvya citizen even a single day labda ktk taarifa za afrika mashariki sometime ndio wanachukua habari toka stations tb za nchi zingine
.mi nafikiri iyo kaunti ya mandera wameisusa sababu ina wasomali wengi mnooo na ktk mpaka wake na somalia nasikia hakuna ppst station maana wanawahofia magaidi ....Wakenya akili zao hazina tofauti na panzi mtu ana kufa na njaa lakini ana ataku ambia hali nzuri maiti zina shikiliwa na hospital wana shindwa kuzika wapendwa wao.Ni watu ambao wanaumia na maumivu yao ndio maana uwezi jua mwanamke na mwaume sura zao ngumu sana kwa sababu ya manunguniko
Manyang'au yananyooshwa na wasomali ile mbaya.Hilo liinchi la manyang'au limeshindikana.
Ukweli mtupu, madaktari wanafanya kazi ya kuwatibu lakini wanawaona kama adui.'Kuishi na msomali afadhali ya kuishi na cobra ndani'Wasomali hata mimi sijui kwanini huwa sina Imani nao hata kidogo...
Magaidi wakinyosha pua Tz kijiji kizima kilichowapa hifadhi magaidi kitateketezwa Kwa bunduki Walitaka kuanzisha kibiti ujinga ujinga huo. Watu kadhaa waliaga maisha . Sasa kibiti ni tulivu hawawezi kukaribusha magaidi tena . Severe punishment will fall over them.Madaktari wawili kutoka nchini Cuba waliotumwa kufanya kazi kwenye Kaunti ya Mandera kilomita 810 kutoka jijini Nairobi wametekwa nyara na washukiwa wa Al-Shabab katika mji wa mpakani wa Mandera.
Mmoja kati ya walinzi wa madaktari hao ameuwawa huku mmoja akifanikiwa kutoroka.
Vikosi vya usalama vinawasaka wanamgambo hao ambao walijaribu kutorokea taifa jirani la Somalia.
Perfect question, i'm sure it is both. That is a failed state for sure. They do not have neither technical capacity nor man power. And they are a mid income nation.Are they there to transfer a technical capacity which Kenya lack? Or increasing man power?
Dah, pumbav sana we jamaaJina lake kamili ni Kakuma Refugee Camp. Kambi ya wakimbizi, wasudi na wasomali pia. Fanya maamuzi yako mwenyewe jombaa, ndio kesho yake usije ukaniuliza kama ninataka umpige mke wako miti.
Haya ndugu mwenye huduma namba !!! By the tuna angalia citizen tv tu sababu kuna damu za watz pale ...... BintiAcha kuruka ruka na kuhamisha goal post ndugu yangu Lubulila. Alafu yaani wewe hapo unaona sifa wanahabari wenu wanapofanya copy and paste kutoka kwa wenzao wakenya? Tena wanaiga yote kutoka jina, content hadi mtindo wanaotumia kupeperusha kipindi chao. Hiyo ni zaidi ya aibu.
NduguMagaidi wakinyosha pua Tz kijiji kizima kilichowapa hifadhi magaidi kitateketezwa Kwa bunduki Walitaka kuanzisha kibiti ujinga ujinga huo. Watu kadhaa waliaga maisha . Sasa kibiti ni tulivu hawawezi kukaribusha magaidi tena . Severe punishment will fall over them.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya imeiga yafuatayoAcha kuruka ruka na kuhamisha goal post ndugu yangu Lubulila. Alafu yaani wewe hapo unaona sifa wanahabari wenu wanapofanya copy and paste kutoka kwa wenzao wakenya? Tena wanaiga yote kutoka jina, content hadi mtindo wanaotumia kupeperusha kipindi chao. Hiyo ni zaidi ya aibu.
Mbona youtube miziki ya bongo imejaa macomments ya manyang'au, na haturingi.hawa jamaa bila kuangalia media za kenya hwaskii raha..kule facebook kuki postiwa kitu cha kenya utaona mtanzania ka post nimeiona hyo habari kw citizen jana..mpka nashangaa kwn kwao hamna news za maana...cz km ni vipindi hapo ndio wako down sana..nilienda kw lile jukwaa lao la siasa..wengi wao wakawa wanaponda sijui futuhi...yani nikaamua siku moja niicheki..bro yani ni ujinga mtupu..yani niliitoa tu..nadhani pia kw interviews ni zero...mwanzo ni nani anaubavu wa kumhoji magu kuhusu madudu yake...utajiku central...
Uongoo, lakini endelea.Unabisha? Hebu kamuulize jirani yako kama StarTv yenu haikuwa inarusha vipindi vya CitizenTv hadi asubuhi. Alafu kwa kuiga ndio usiseme, kutoka Power Breakfast ya Citizen Tv ambayo waliiga Clouds, Nimekubamba ambayo waliiga kutoka Kaa Rada ya Citizen Tv. Bulls Eye ya NTV wakaiita Jicho la Ng'ombe. Niendelee ama nisiendelee?